Asante JF; nimepata mke wa pili


Sawa bosi, nimekupata.

Pamoja.
 
Katika hiyo list tutajie members wa jf waliojitokeza na kukosa bahati.
Nasi tunauhitaji mkubwa sana.
Maana kuna msemo kuwa "unakiona cha nini, mwenziyo anafikiria atakipata lini"
 
Vipi mkuu ubweche utakuepo?
 
Kwa msuguri hapo nitahudhuria....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…