Asante JF Founder

Asante JF Founder

Kasheshe nyingine ipo hapo...ninaowazimia hapa JF wote wanajua 'kuchonga' hao! Hivi Preta unamtongozaje!? bora tu style yetu ya kiChagga ya kuhonga, atleast inaepusha vibuti!

huyo pitia kwangu mie ntakusomeshea,wa kunyumba wangu huyo atanisikiliza sana tu, andaa pesa za vinywaji vya kutosha tu, hapo red kaka na wewe wa kizamani sana jamani, siku hizi wanaume hawaongi bwana sisi ndio tunawahonga....uko nyuma sana na starehe za dunia zinavyoenda.
 
pitia kwangu mie ntakusomeshea,wa kunyumba wangu huyo atanisikiliza sana tu, andaa pesa za vinywaji vya kutosha tu, hapo red kaka na wewe wa kizamani sana jamani, siku hizi wanaume hawaongi bwana sisi ndio tunawahonga....uko nyuma sana na starehe za dunia zinavyoenda.
mmhh hilo jina limenikumbusha wimbo wa twanga pepeta.....

katika wanawake kumi wewe utakuwa mmoja wao tu.... wanawake wengi wanaohonga naona siyo wazuri... hawana sura za mvuto kama wewe
 
Mimi hujawahi kunihonga...something is wrong here...:glasses-nerdy:

huyo pitia kwangu mie ntakusomeshea,wa kunyumba wangu huyo atanisikiliza sana tu, andaa pesa za vinywaji vya kutosha tu, hapo red kaka na wewe wa kizamani sana jamani, siku hizi wanaume hawaongi bwana sisi ndio tunawahonga....uko nyuma sana na starehe za dunia zinavyoenda.
 
Jamani hivi mnapatapaje watu humu? Hongera bro, keep the relationship stable
 
Member: Mshuwa
Join Date : 3rd April 2012

Posts : 44
Rep Power : 339

Likes Received8
Likes Given5




Member: cutetoto
Join Date : 4th October 2012

Posts : 13

Rep Power : 307
Likes Received4
Likes Given20



Mambo mengi mnafanafana nyie. Kuna mkono wa ........
 
Mmmmmh
bhaaaas

lipitalo hupishwa....kwani mchama ago hanyeli....huenda akauya papo na zaidi ya hapo.....kila chombo kwa wimbile....
usiwe na kisebusebu wala kiroho papo....kwani kwa kila asemaye mia mia leo mia jana kala nini....ganda la muwa la jana.....chungu kaona kivuno....
 
Hogera mkuu. Hakika kila mtu ana historia ya alivyokutana na mpenzi au mwenza wake wa maisha!!!
 
Back
Top Bottom