Leo wewe unasema hivyo, mbona sisi CCM hatuna tatizo kabisa, ila ingekuwa Lema kalazwa then Kitwanga aende kumtembelea mgesema katumwa akamuue, hahaha yaani wapinzani akili zenu mnazijua wenyewe
Lissu alipolazwa Nairobi miongoni mwa walioenda kumtembelea ni Lazaro Nyalandu na Mama Samia. Ukileta ushahidi wa comment hata moja tu ya Wanachadema waliowatuhumu kutumwa kwenda kumuua nipigwe ban.