usalama kwanza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2012
- 386
- 157
ameshapishana na utajiriungefungua kesi wewe. wangekulipa pesa sana
ameshapishana na utajiriungefungua kesi wewe. wangekulipa pesa sana
Kwa tuliokuwa tunafikiria kufungua akaunti NMB tumeishatilia shaka kwa waliyomfanyia mlalamikaji.Hivi mpaka waandikwe vibaya kwenye mitandao ya kijamii ndo washughulike na matatizo ya watu??? Tena kwa kitishiiwa
Ni kweli, wasipotekeleza uje haraka sana tena ukiwa umeweka na evidence zote, hata utakapofungua kesi kama utakuwa umefulia Mkuu usione haya kuomba msaada.Umeahidiwa wasipotekeleza uje tena.
Napenda kuwashukru kwa dhati benki ya NMB makao makuu wa kusiliza kilio changu. Baada ya kuposti usiku wa kuamkia leo kuwa benk ya NMB wamenifanya kuwa ombaomba, NMB makao makuu wamenipigia simu.
Rejea >>> Benki ya NMB wamenifanya ombaomba baada ya kuibiwa pesa zangu nilizolimbikiza kwa miaka kadhaa
Nawashukru kwa ushirikiano ambao wamenionesha naamini kuwa suala hilo watalishughulikia mapema iwezekanavyo.
Kwa sababu hiyo nasitisha kwa muda taratibu zote ambazo nilikuwa nimepanga kuzifanya ili kuwapa muda wa kushughulikia suala langu.
(1)Nakumbuka nilikuwa najiandaa kuweka vielelezo vyote hapa JamiiForums. (2) Nilikuwa najiandaa kusafiri mpaka Dodoma ili kuonana na Waziri wa Fedha. (3) Nilikuwa najiandaa kumuandikia Mh. Rais Magufuli. (4) Na mwisho nilikuwa najiandaa kufungua kesi mahakamani ikiwa hatua yangu ya mwisho.
Nashukuru sana JamiiForums pia wadau wote mliochangia na zaidi nawashukuru NMB Bank makao makuu kwa kujali kilio changu na kuahidi kulishughulikia upesi.
Mungu awabariki sana
Sasa huyu malaika anaetamani kushuka ili azime mitandao yote ya kijamii anatutakia mema kweli? matatizo kama haya tungeyasemea wapi? Malaika wengine bhana. ah ah.Kuongea kunasaidia sana kuliko ungeendelea kuwa domo zege
Ulitakiwa uwe mahakamaniNiko makini sana na hili kwani pesa zangu zina miaka zaidi ya mitatu.wasipo timiza ahadi yao nitarudi hapa na makrabasha yangu yote. Na nitaendelea na tua zangu muhimu. Ni kweli ni mepoteza muda mrefu biashara yangu imesimama familia yangu imeangaika sana
Kusema kweli naitaji kudai fidia.kama nitalazimika kufika mahakamani basi nitadai fidia tena kubwa.ila wakinilipa pesa zangu mapema kabla ya week mbili nitawasamehe
Una homa ya "kupongeza"Napenda kuwashukru kwa dhati benki ya NMB makao makuu wa kusiliza kilio changu. Baada ya kuposti usiku wa kuamkia leo kuwa benk ya NMB wamenifanya kuwa ombaomba, NMB makao makuu wamenipigia simu.
Rejea >>> Benki ya NMB wamenifanya ombaomba baada ya kuibiwa pesa zangu nilizolimbikiza kwa miaka kadhaa
Nawashukru kwa ushirikiano ambao wamenionesha naamini kuwa suala hilo watalishughulikia mapema iwezekanavyo.
Kwa sababu hiyo nasitisha kwa muda taratibu zote ambazo nilikuwa nimepanga kuzifanya ili kuwapa muda wa kushughulikia suala langu.
(1)Nakumbuka nilikuwa najiandaa kuweka vielelezo vyote hapa JamiiForums. (2) Nilikuwa najiandaa kusafiri mpaka Dodoma ili kuonana na Waziri wa Fedha. (3) Nilikuwa najiandaa kumuandikia Mh. Rais Magufuli. (4) Na mwisho nilikuwa najiandaa kufungua kesi mahakamani ikiwa hatua yangu ya mwisho.
Nashukuru sana JamiiForums pia wadau wote mliochangia na zaidi nawashukuru NMB Bank makao makuu kwa kujali kilio changu na kuahidi kulishughulikia upesi.
Mungu awabariki sana
WALIKULIPA?Napenda kuwashukru kwa dhati benki ya NMB makao makuu wa kusiliza kilio changu. Baada ya kuposti usiku wa kuamkia leo kuwa benk ya NMB wamenifanya kuwa ombaomba, NMB makao makuu wamenipigia simu.
Rejea >>> Benki ya NMB wamenifanya ombaomba baada ya kuibiwa pesa zangu nilizolimbikiza kwa miaka kadhaa
Nawashukru kwa ushirikiano ambao wamenionesha naamini kuwa suala hilo watalishughulikia mapema iwezekanavyo.
Kwa sababu hiyo nasitisha kwa muda taratibu zote ambazo nilikuwa nimepanga kuzifanya ili kuwapa muda wa kushughulikia suala langu.
(1)Nakumbuka nilikuwa najiandaa kuweka vielelezo vyote hapa JamiiForums. (2) Nilikuwa najiandaa kusafiri mpaka Dodoma ili kuonana na Waziri wa Fedha. (3) Nilikuwa najiandaa kumuandikia Mh. Rais Magufuli. (4) Na mwisho nilikuwa najiandaa kufungua kesi mahakamani ikiwa hatua yangu ya mwisho.
Nashukuru sana JamiiForums pia wadau wote mliochangia na zaidi nawashukuru NMB Bank makao makuu kwa kujali kilio changu na kuahidi kulishughulikia upesi.
Mungu awabariki sana