Friday Malafyale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,789
- 2,868
Leo tarehe 29 Septemba nimeamua nifungue akaunti ya benki ya NMB sijawahi kumiliki wala kuiwazia ila leo imebidi niwe nayo.
Kuna kahela inabidi kawe humo kwa muda fulani kuepusha majambuta yenye yenye roho mbaya. Japo kabla nilikuwa na akaunti ya Posta na akaunti ya CRDB.
Je ni akaunti gani itafaa kwa kipato changu cha kawaida?? Ikumbukwe sina ajira ila nimejiajiri baada ya magufuli kufanya umafia wake 2015.
Nakaribisha mawazo yenu.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kuna kahela inabidi kawe humo kwa muda fulani kuepusha majambuta yenye yenye roho mbaya. Japo kabla nilikuwa na akaunti ya Posta na akaunti ya CRDB.
Je ni akaunti gani itafaa kwa kipato changu cha kawaida?? Ikumbukwe sina ajira ila nimejiajiri baada ya magufuli kufanya umafia wake 2015.
Nakaribisha mawazo yenu.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app