Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,316
Ninajua hujui nilichocoment na kama unajua kiarabu hukusomasafi sana mkiweka nyuzi kama hizi. mNAKUAGA WAPI.. ALHAMDULLAH
league ya nini hapo, ungependa tuelewe ungesha tafsr. acha ubinafsi wakoNinajua hujui nilichocoment na kama unajua kiarabu hukusoma
Ngoja watakuja tu wanazuoni waliobobea fuatilia uzi mpaka jioni utakuwa umepata maana.league ya nini hapo, ungependa tuelewe ungesha tafsr. acha ubinafsi wako
Sio kila maandishi ya kiarabu ni quranWaislsm wengi hawajui kilichoandikwa kwny vitabu vyao.
Sio kila maandishi ya kiarabu ni quran
aisee!! Ukitaka kuwa maarufu ndan ya nchii ndani ya siku moja tu hebu ingia msikitin na kitoto cha nguruwe. Yaan hapo haipiti lisaa tayar ushajulikana nchi nzma