Binafsi siipendi CCM na serikali yake na wala simpendi yeyote anayeipenda CCM lakini sifurahii hii namna wamebadili huu wimbo wa taifa.
Ni kama kufanya mzaha hivi kwa mambo muhimu sana (na kwakuwa mimi ni Mkatoliki, nawezasema kuwa ni sawa na Mkatoliki kuchezea matakatifu/sacraments au visacrament!
Ongeza ufafanuzu mkuu hii ni habari mpya masikioni mwangu, please.wimbo wa taifa lako haueleweki vizuri, unamuomba mungu aibariki afrika, kwa ufahamu wangu afrika ni jina mbadala wa ALKEBULAN = The land of the blacks. wazungu walichungulia wakaona wakiacha jina halisi kuendelea ingekuwa clear nowadays kuwa ALKEBULAN IS FOR BLACKS. changamka mkuu uelewe yourstory, siyo history.
Ni kweli, cheki mwenyewe hapo chini nyomi la wananchi linaimba wimbo wa Taifa kuanzia dakika ya 1:05 or thereabout. I mean, it's so hilarious it's treasonous.vipi jamani ni kweli haya ninayoambiwa??
Kama ni kweli,jua kuna Pandikizi la sisiemu.La,sivyo nlishawahi ckia mtu anasema Mchwa ukitaka kufa huwa unaota MBAWA..
Hoja za kijinga hizi.jamani wanachadema mliopo Arusha tunaomba mtuhakikishie hili la wimbo wa taifa kubadilishwa.natumiwa sms kuwa badala ya kuimba MUNGu ibariki Tanzania wanaimba MUNGU ibariki CHADEMA.vipi jamani ni kweli haya ninayoambiwa??
Hoja za kijinga hizi.
Sasa mtoa mada ulitaka wimbo upi? Mungu ibariki Chadema? Chadema si Tanzania na kama inapendwaArusha basi ujue Arusha si Tanzania yote.
Halafu Mods ile mada ya matukio ya kusikitisha huko Arusha juu ya Nasari kutamka kuwa CDM inataka Arusha ijitenge mbona mmeiondos?
Ujinga huu unaifanya hata JF kuingia mkenge.
Let them spill their own beans!
Usiwe na wasiwasi huo mwimbo unaoimbwa ni wa CDM sio mwimbo wa Taifa mwimbo wa taifa unataja Tanzania lakini huu wa kwetu Unataja CDM na lengo ni kumuomba mungu aibariki CDM kwa ajili ya Kuwakomboa Watanzania.Hoja hii haina mashiko. Kama ni matatizo ya kiuongozi yanahusu chama tawala ccm. Wimbo wanaouletea dhihaka sii wa ccm ni wa taifa zima. Wimbo huu hauna uhusiano na utawala aidha mzuri au mbaya. Kama kuna hati miliki ya wimbo wa taifa basi inamilikiwa na taifa zima na sii chama fulani. Jamani wasanii wapo kibao wapeni tenda ya kuwatungia wimbo muupendao na sii kuuchafua huu wa taifa
jamani wanachadema mliopo Arusha tunaomba mtuhakikishie hili la wimbo wa taifa kubadilishwa.natumiwa sms kuwa badala ya kuimba MUNGu ibariki Tanzania wanaimba MUNGU ibariki CHADEMA.vipi jamani ni kweli haya ninayoambiwa??