GE2025 Arusha: Waliosema Rais Samia asichanganye Siasa na Mila, walipa faini ya Dume la Ng'ombe na kukwepa kuchapwa Fimbo 70

GE2025 Arusha: Waliosema Rais Samia asichanganye Siasa na Mila, walipa faini ya Dume la Ng'ombe na kukwepa kuchapwa Fimbo 70

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Vijana wawili wa jamii ya kimasai Mkoani Arusha wamepigwa faini ya Dume moja badala ya kuchapwa fimbo 70 baada ya kumkashifu Rais Wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika eneo la kata ya Elerai Mkoani Arusha.

Akizungumza katika Mkutano wa Mila ulioitishwa ili kulaani kitendo hicho Kiongozi wa Mila Tanzania Isack Elikisongo amesema kuwa wameitana ili kuonyana kutokana na vitendo vya vijana hao kumtukana Rais.


Chanzo: Kusaga TV
 
Badala waseme hayo MANENO ni yapi MANA mnaleta taharuki kwa jamii.


Kwishaaaaa
 
😹😹😹 Weee atakayenichapa nitamuonyesha kwanini chura hachezi kwenye maji ya moto..!!
 
Vijana wawili wa jamii ya kimasai Mkoani Arusha wamepigwa faini ya Dume moja badala ya kuchapwa fimbo 70 baada ya kumkashifu Rais Wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika eneo la kata ya Elerai Mkoani Arusha.

Akizungumza katika Mkutano wa Mila ulioitishwa ili kulaani kitendo hicho Kiongozi wa Mila Tanzania Isack Elikisongo amesema kuwa wameitana ili kuonyana kutokana na vitendo vya vijana hao kumtukana Rais.


Chanzo: Kusaga TV
Wamepangwa.hao. kusanyikeni muombe msamaha ah ah aha. Masai gani anaitwa Yusuph. Ila ujumbe ushafika
 
Back
Top Bottom