DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Wakuu
Arusha inasubiri kwa hamu siku ya kumchagua mbunge wetu atakayetufuta machozi yetu
Arusha tunaenda kupiga kura za hasira dhidi ya ccm kama tulivyowatandika bao 24-1
Tunamkubali sana Godbless kwa kuwa hana uoga na kwa jinsi uchaguzi mkuu ulivyoendeshwa na NEC hakika tutalipiza kwa hasira dhidi ya Mollel Monaban.
Lema upate usingizi mnono tutakupa kura nyingi ARUSHA MJINI.
Arusha inasubiri kwa hamu siku ya kumchagua mbunge wetu atakayetufuta machozi yetu
Arusha tunaenda kupiga kura za hasira dhidi ya ccm kama tulivyowatandika bao 24-1
Tunamkubali sana Godbless kwa kuwa hana uoga na kwa jinsi uchaguzi mkuu ulivyoendeshwa na NEC hakika tutalipiza kwa hasira dhidi ya Mollel Monaban.
Lema upate usingizi mnono tutakupa kura nyingi ARUSHA MJINI.