Arusha: Siri Nzito za DC wa Arusha, Mrisho Gambo Kuzuia ziara za madiwani zafichuka

Itafika sehemu watanzania wote tutakuwa tunafanya kazi kwa ajili ya manufaa ya umma,siyo kwel tu ccm ndo wameifikisha nchi hapa ilipo pia hata chama kingine kingetupeleka hukuhuku au zaidi ya huku maana kinacho wakimbiza kwenye vyama ni njaa na maslahi binafsi ya kitumbo zaidi.Tanzania hii ilimuitaji MTU mwenye nia na watanzania siyo na ikulu!rais Mgufuli ndo Wa pekee ataifikisha Tanzania sehemu sasa tumpe muda tumsupport tusimpinge Rais Tumuache afanye kazi.Waacheni watanzania wamuamini rais wafanye kazi.Arusha jicho la serikali limeshaona litafanya kazi yake.


Akipunguza ubaguzi anaweza kufanya kazi ila akiendelea na hizi mambo ataandika rekod ya hovyo mapema sana.
 
Wewe NANGA WA KATA Tuambie uhalali wa Kumtukana Mheshimiwa Rais Mwizi?. Je wewe upo above sheria ya nchi?au wewe kwa kuwa ulizaliwa na kulelewa kwenye familia ya watukanaji unadhani una haki ya kutukana kwa kusema ''rais mwenyewe ndoo wale wale...."Kama hutaomba radhi sisi wananchi wasiopenda uonevu,lugha za maudhi kwenye mitandao tutakufungulia mashitaka mahakamani Wiki ijayo Hapo ndio tutaona anaekupa kiburi.
acha mkwara mavi k ww kama unajeuri si umshauri arudishe ajira jitoe ufahamu sasa tutakutana september mosi ccm imeoza
 
Lahaula siri zimefichuka Kwanini DC Gambo anazuia ziara za Kamati za Madiwani kutembelea Miradi?
Jibu lipo peupeeee!

Jana Kamati ya Fedha ilibaini uozo wa kunuka kwenye Mradi wa Tasaf wa Ujenzi wa Hostel ya wasichana Korona. Tofali zizokutwa zikitumuka ni za biskuti.
MH.RAIS MAGUFULI, njoo Arusha Gambo anazuia ziara kwa maslahi yake ili kulinda uozo.
Labda huenda ana ubia na Waratibu wa Tasaf.

hizi ni taarifa zilizotufikia Kituo chetu cha radio kutokea jijini Arusha

Acheni ujinga fanyeni kazi, Wewe ni mmoja wa madiwani aanahaha kwa vile mikataba yenu inawalakini. Acha tujuwe ukweli
 
Huyu DC ajifunze kwa RC wa Arusha. Huyu RC alikuwa DC wa Karatu,ngome kuu ya CDM. Hakuwahi kuingia kwenye mgogoro mkubwa wa kiutendaji na Halmashauri iliyokuwa chini ya CDM,akapata promotion kuwa RC wa Arusha wakati wa Mh Kikwete,naye Dr Magu kamteua tena. Baada ya uchaguzi mkuu, alifanya kikao na madiwani,akawapongeza CDM kwa kuaminiwa na wananchi,akasisitiza kufuata utaratibu kwenye uongozi. Choteni busara toka kwa huyu jamaa,jina lake gumu,nadhani ni Felix Ntibenda
Ntibenda hana tatizo na mtu, yeye na kilaji chake tu, basi!
 
Kuna Taasisi hufanya ukaguzi ktk maduka, ya dawa, vyakula, vipodozi, nk sasa huku kwenye mambo ya ujenzi nani mkaguzi was bidhaa hii ya ujenzi?
Tuwe wakweli kuhusu maisha yetu tuache mambo ya hovyo hovyo kutegeana na fitina kibao.
Penye chuki hakuna maendeleo, Arusha inazidi kudidimia kibiashara ni aibu sana sana.
 
Kunapoelekea itabidi tusibishe hata kama tuna hoja zaidi ya tunayembishia..Narudia Tanzania kila kitu kinawezekana hasa kwenye nyanja ya uongozi kwa Tanzania hii ya viwanda..!
 
Back
Top Bottom