Ni ajabu sana kwani kila kijana anaejitahidi kimaisha ananunua silaha arusha.Hata wale wanaojiita wanaapollo wana silaha sasa mwaka ukipita hajapata Tanzaniate wanatumia silaha kuvamia na kuiba.
I don`t buy the idea kwamba kuwa na silaha ni maendeleo.......