Hata wasipopiga kura watu wa kaskazini ushindi uko palepale. Kwani kaskazini ndio nn? Nchi hii ni yetu sote. Hakuna mwenye hati miliki. Waache ubinafsi mkubwa uliokithiri mithili ya kutaka kila kitu chao. Tumechoka na tabia za hovyo za ubinafsi, ulafi na ubaguzi wao kwa watu wa sehemu zingine kwa kujiona wanajua kila kitu kumbe maji tu.
Nani kakuambia Lowasa amekatwa kwa sababu ya ukabila? ina maana wewe hujui kashfa zinazomzunguka? Iweje nyie chadema mumpende sana Lowasa dakika hizi za majeruhi? Obvious mnazo rundo ya kashfa zake mlizihifadhi ili akipitishwa na ccm mzitoe hadharani kuimaliza ccm! wamewashtukia mnaleta ajenda ya ukabila. Muflisi nyie.
Kwa pigo hili sidhani kama CCM ina kitu imebakiza Arusha na Kilimanjaro nadhani ndio wamejifukuza kabisa hata kile kidgo kilicho kuwa kimebaki wamepoteza, ngome imekuwa ya UKAWA moja kwa moja.
Mkuu tangia enzi na enzi watu wa kaskazini wamekuwa wanabaguliwa wazi wazi kabisa na ccm...na mwaka huu ndo muda wa kuwaonyesha kuwa watu aa kaskazini wana msimamo....na msimamo wauonyeshe kwenye sanduku la kura...ccm wasipate kitu kuanzia udiwani..ubunge..mpaka uraisi...
nakubaliana na wewe kwa kumkumbuka marehemu kenyata alimwambia nyerere :" mimi natawala wagonjwa kuna siku watapowa wataleta shida wewe unatawala vipofu hawataona maisha" imethibitika inauma lakini ndio ukweli .
Umenifanya nifikiri Mara 2
Hivi kwanini rais hajawahi toka huko?
mi ni mzaliwa na mkazi wa Kilimanjaro marangu. Unachoongea ni siasa za makabila jambo ambalo siyo zuri. Alafu siasa ni Sera siyo matusi. Waje wote wamwage Sera then wananchi waamue. Pia kama upinzani wanadhani kupita huku na huku wakisema serikali haijafanya kitu ni dili waendelee. Nimefwatilia chaguzi nyingi sana kupitia vyombo vya habari. Hakuna kitu kizuri kama Sera. Mfano Laporta vs Bartomeu pale Barcelona club kila uchao Sera zinamwagwa!!! Wananchi wamechoka na vijembe vya kutukanana na lawama. Ndio maana hata baadhi yao walimpenda Lowassa kwa kula alikuwa anawaambia atawasaidiaje japo mambo ya ufisadi yanayozungumzwa juu yake. Dr slaa mwaga Sera Dr Magufuli mwaga Sera. Zungukeni nchi mzima alafu wananchi tutawarate. Hii ndiyo siasa bora. Hawa watu wote ni makini sana na naimani Sera ndio zitawaokoa. Magufuli ni mchapakazi sana na Dr slaa pia. CCM mwacheni Magufuli msimshinikize kwa lolote mtaona watanzania watakavyo enjoy life. Pia kwa Dr slaa vilevile. Jana kuna mkurugenzi wa halmashauri fulani baada ya Magufuli kutwaa 3 bora akasema tumekwisha. Pia Dr slaa watu wanamjua vema. Taifa la Mungu twendeni church kwa wale rc alafu tukija mambo yote hadharani
Huu ndio unaitwa ukanda a.k.a ukabila.
mi ni mzaliwa na mkazi wa Kilimanjaro marangu. Unachoongea ni siasa za makabila jambo ambalo siyo zuri. Alafu siasa ni Sera siyo matusi. Waje wote wamwage Sera then wananchi waamue. Pia kama upinzani wanadhani kupita huku na huku wakisema serikali haijafanya kitu ni dili waendelee. Nimefwatilia chaguzi nyingi sana kupitia vyombo vya habari. Hakuna kitu kizuri kama Sera. Mfano Laporta vs Bartomeu pale Barcelona club kila uchao Sera zinamwagwa!!! Wananchi wamechoka na vijembe vya kutukanana na lawama. Ndio maana hata baadhi yao walimpenda Lowassa kwa kula alikuwa anawaambia atawasaidiaje japo mambo ya ufisadi yanayozungumzwa juu yake. Dr slaa mwaga Sera Dr Magufuli mwaga Sera. Zungukeni nchi mzima alafu wananchi tutawarate. Hii ndiyo siasa bora. Hawa watu wote ni makini sana na naimani Sera ndio zitawaokoa. Magufuli ni mchapakazi sana na Dr slaa pia. CCM mwacheni Magufuli msimshinikize kwa lolote mtaona watanzania watakavyo enjoy life. Pia kwa Dr slaa vilevile. Jana kuna mkurugenzi wa halmashauri fulani baada ya Magufuli kutwaa 3 bora akasema tumekwisha. Pia Dr slaa watu wanamjua vema. Taifa la Mungu twendeni church kwa wale rc alafu tukija mambo yote hadharani
Aliye watu wote wa kaskazini ni chadema ni nani.
Kila kitu kina mwisho!
Mungu si mwanadamu!..
Subiri uone
Magufuli atatakiwa kusaidiwa kuirejesha CCM katika umoja, maana naye ana changamoto ya 'unifying' katika matendo na kauli yake!Ccm washapasuka wamejikaza tu subiri watoke hapo chama kitapasuka zaidi. Unamuona Membe hapo? Unamuona Lowassa alivyokula x? Unamuona kikwete alivyomuadhibu Lowassa. Hapo wapo kimwili tu kichama hakuna.
Namuonea huruma Magufuli katupiwa zigo lililooza anakazi kubwa sana. Ukawa wanachance kubwa hii ni bahati yao.
Dhambi ya ukabila imekwisha kukutafuna robo tatu ya mwili wako.
Umenifanya nifikiri Mara 2
Hivi kwanini rais hajawahi toka huko?
Umesoma vzr post Yangu au umejibu tu!?
Kama bado kuna mtu wa Kaskazini bado yupo Ccm basi akapimwe AKIRI sio mzima.Ubaguzi wa Ccm kuwabagua watu hao umeonekana.Uvccm pwani walisema Rais hawezi toka Kaskazini kupitia ccm