Aibu kubwa na ukiukwaji wa haki. Mgombea wa NRA kata ya Murieti ameshikiliwa kwa nguvu ktk Halmashauri ya Jiji Arusha, kwa sababu ya kujitoa na kumuunga mkono Diwani wa Chadema , msimamizi wa uchaguzi amekataa kupokea barua yake na kumweka chini ya ulinzi. Time will tell