ARUSHA: Mahakama yamwachia huru mwenyekiti wa UVCCM Arusha

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha,imemwachia huru mwenyekiti wa UVCCM, Lengai Ole Sabaya aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kughushi nyaraka na kujifanya Ofisa Usalama wa Taifa baada ya upande wa Mashtaka kushindwa kuleta mashahidi mahakamani.
 
Hivi kumbe alipokamatwa ni kitambulisho cha bandia cha usalama alikimeza kupoteza ushahidi ?
Mbona wanaomeza madawa wanasimamiwa na polisi wanapoenda haja kubwa ili kudaka mzigo?
Kweli ccm ni mhimili mwingine.....!
 
Ni mhimili uliojichimbia
Hivi kumbe alipokamatwa ni kitambulisho cha bandia cha usalama alikimeza kupoteza ushahidi ?
Mbona wanaomeza madawa wanasimamiwa na polisi wanapoenda haja kubwa ili kudaka mzigo?
Kweli ccm ni mhimili mwingine.....!
 
Back
Top Bottom