Ethos
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 2,294
- 2,057
Acha Uzinzi... Mbona Shivas ni karibu na hapo?Mtaa wangu hapo nikiendaga chuga hapo tgpesa natoaga hela sana hapo min supermarket kuna sister anauzaga bis nilikua namfil mby
Acha Uzinzi... Mbona Shivas ni karibu na hapo?Mtaa wangu hapo nikiendaga chuga hapo tgpesa natoaga hela sana hapo min supermarket kuna sister anauzaga bis nilikua namfil mby
na kweli hapo ndani kwa vitu vya luseseko nlipapenda sana so sad. Ulikuwa ukipita unanunua mkate ama lotion ukipiga macho na kukutana na luseseko thirster hakia nani unaharibu ratiba.Hakuna mtungi wa gesi uliolipuka japokuwa kuna milipuko ambayo ni minor na alisababishwa na perfumes na pombe kali zile ambazo ni explosives in nature
Jamaa ameokoa pesa kasema asepe na gari lake sijui akiwa njiani akakumbuka nini akapagawa,akagonga gari tena. Nafikiri ndani kutakuwa na pesa mingi maana waliowahi kuingia kuopoa wamezoa pesa za kutoshana kweli hapo ndani kwa vitu vya luseseko nlipapenda sana so sad. Ulikuwa ukipita unanunua mkate ama lotion ukipiga macho na kukutana na luseseko thirster hakia nani unaharibu ratiba.
mtaji wa mtu unaanguka hivihivi dah so sad. lazma kuchanganyikiwa mkuu.Jamaa ameokoa pesa kasema asepe na gari lake sijui akiwa njiani akakumbuka nini akapagawa,akagonga gari tena. Nafikiri ndani kutakuwa na pesa mingi maana waliowahi kuingia kuopoa wamezoa pesa za kutosha
Baraka ndio amepata hasara kubwa. Jamani huruma sanapoleni sana duh ila baraka pole zaidi
MTU mmoja PC Sana mkuu.Jamaa wa Mpesa ni mshikaji wangu sana anaitwa Baraka. dah pole zake aisee
Poleni sana mabilionea wetu wa arachuga,idadi ya mabilionea inapungua.Poleni sana kwa wafanya biashara wetu.
Usikariri kila kitu.Poleni sana mabilionea wetu wa arachuga,idadi ya mabilionea inapungua.
Mwenye hiyo Supermarket ni mtoto wa Cheusi mwenye Salina supermarket, naamini watarejesha biashara soonest,shida ni kwa hayo maduka mengine ya wenzangu na Mimi.mtaji wa mtu unaanguka hivihivi dah so sad. lazma kuchanganyikiwa mkuu.
okay,nikariri kwa kiwango gani?huku kwetu hakuna mabilionea?Hujawahi sikia huku hatuna mamilionea,au huna masikio.Njoo kwa mrombo uone.Sisi si watu wa mchezo mchezo!!!!Usikariri kila kitu.
Ha ha (sicheki kwa mazuri ) huu uongo ni wa kiwango cha lami mkuu. Hana hata uhusiano na yeye kabisa. Mimi Baraka namjua fika toka anaanza.Mwenye hiyo Supermarket ni mtoto wa Cheusi mwenye Salina supermarket, naamini watarejesha biashara soonest,shida ni kwa hayo maduka mengine ya wenzangu na Mimi.
Poleni sana majirani zangu!
Isiwe kesi,basi yaaishe.Ha ha (sicheki kwa mazuri ) huu uongo ni wa kiwango cha lami mkuu. Hana hata uhusiano na yeye kabisa. Mimi Baraka namjua fika toka anaanza.
Haya mkuuPoleni sana mabilionea wetu wa arachuga,idadi ya mabilionea inapungua.