Hili jambo siyo la kukaa kimya kwa yeyote mwenye machungu na nchi hii maana wanaotekwa siyo wapinzani peke yao, wapo wafanyabiashara, waandishi wa habari na wanaharakati mbalimbali wametekwa na kuuawa na hawa usalama wa taifa, kukaa kimya mkuu kwa sababu siyo mpinzani si sawa, hapa tupige kelele sote na ikiwezekana tuwe tunawajibu kwa vitendo kama alivyowajibu yule Zakaria wa Tarime