Arusha: Jaribio la kumteka Katibu wa Chadema Jiji la Arusha kwenye Ofisi za Halmashauri ya Jiji hilo zashindikana

Kama ulitaka jamaa asiseme kuwa mleta mada ni muongo basi post yake ingekuwa na ushahidi attached na sio kulalama plain.
You're so stupid,eti "ushahidi attached" are you insane? Lissu alilalamika mara ngapi before he was shot? Si mlisema ni kiki tu za kisiasa but there was no one trying to harm him whatsoever, the results 16bullets penetrated his body luckily he survived.
 
Weng wao kabla ya kutekwa huwa wanaonyesha pattern moja tu. Nayo ni kupingana na serikal kwa namna yoyote ile
Hili jambo siyo la kukaa kimya kwa yeyote mwenye machungu na nchi hii maana wanaotekwa siyo wapinzani peke yao, wapo wafanyabiashara, waandishi wa habari na wanaharakati mbalimbali wametekwa na kuuawa na hawa usalama wa taifa, kukaa kimya mkuu kwa sababu siyo mpinzani si sawa, hapa tupige kelele sote na ikiwezekana tuwe tunawajibu kwa vitendo kama alivyowajibu yule Zakaria wa Tarime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua TISS ni watu wema. Na admire sana kazi zao.
Tatizo ni kuwa wameingiliwa. Wale real agents walikuwa wakifanya mambo ya maana ni kama wamekuwa sidelined. Na vijana wanao ingizwa kwa sasa ni kwa lengo la kutumika kisiasa.
Kapilimba afanye kitu. Asiache taasis nyeti kama hii kuharibiwa na wanasiasa.
Kwa hiyo unashauri tuchukuwe sheria mikononi mwetu kwa kutumia kanuni ya jino kwa jino? Hapana bado hatujafika huko tuzidi kusungumza na kupaza sauti TISS ni watu wema kwa nchi hii na iko siku watawabaini wote wasioitakia nchi yetu mema kwa kuwaumiza na kuwapoteza watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ilikuwa hofu yako tu - kama wangekuwa na nia hiyo hapo usingeruhusiwa kutoka ofisini
 
Ushauri wangu kila siku mnalalamika mnajua wanapokaa na jamii zao mnazijua acheni kulalama fanyeni vitendo na ninyi
Sio vema mambo hata yaachwe kwa wansiasa tuu, hata wewe mkuu Yomboo msaada na mawazo yako ni muhimu.
 
Chedema kwa uongo bana tena uongo wa kitotooo, jipangeni bana, ashindwe kutekwa mashinji atekwe katibu kata dah!
Ninajisikia kukutukana lakini nimegundua wewe ni mbwa usiyekumbuka yule wa Hananasif alikuwa diwani your days you dogs are numbered. Ben saanane is my brother.
 
You're so stupid,eti "ushahidi attached" are you insane? Lissu alilalamika mara ngapi before he was shot? Si mlisema ni kiki tu za kisiasa but there was no one trying to harm him whatsoever, the results 16bullets penetrated his body luckily he survived.
Wewe na wenzako wote ni wapumbavu, lissu analalamikia kwenye media badala ya kwenda polisi kutoa riport .kwahiyo ulitaka polisi wao waende gazeti la mwanachi na facebook kuchukua maelezo ya kuhusu tundulissu anafuatiliwa? Hivi ukiwa nyumbu ndo unakuwa akili hauna kabisa au unakabidhi reception pale ufipa? Ukute ata huyu anayelalamika hapa hajaenda polisi kutoa riport.
 
Kwa hiyo unashauri tuchukuwe sheria mikononi mwetu kwa kutumia kanuni ya jino kwa jino? Hapana bado hatujafika huko tuzidi kusungumza na kupaza sauti TISS ni watu wema kwa nchi hii na iko siku watawabaini wote wasioitakia nchi yetu mema kwa kuwaumiza na kuwapoteza watanzania.

Mkuu hayaja kufika lakini Siku yakikufika utaibeba Dunia Mkononi na hutoiona ni nzito ..
 
45 Reactions
Reply
Back
Top Bottom