BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,720
- 6,527
Arusha inaelekea kulemewa na volunteers kutoka Ulaya huko na Marekani, sina shida na wao ku volunteer, ila ninachouliza kwanini ni Arusha pekeee?
Nchi hii ina amani kote kule, kwanini Volunteer iwe ni Arusha pekee yake na sio Kigoma wala Kagera wala Singida wala Shinyanga wala Tabora wala Katavi au Mbeya au Mtwara na Lindi huko.
Kuna sehemu nilifika nikakuta kuna Volunteers wako 60 eti wanadili na kusaidia mbwa wa mitaani. Hospitali za Arusha hasa hizi za Serikali zima Wazungu volunteers huku Watanzania waliohitimu wao wakiambiwa nafasi za kujitolea hazipo.
Uhamiaji kama hakuna dili wanafanya wanapaswa hawa volunteers kuambiwa kuvolunteer sio Arusha pekee yake bali ni nchi nzima.
Hawa Wazungu ni wajanja wajanja sana, na uhamiaji ni kama kuna mshiko wanapewa na hawa Wazungu.
Nchi ina mikoa 25+ haiwezekani mkoa mmoja tu ndio uwe wa volunteers wote. Pia serikali inapaswa kuingilia kati na kuhakikisha kama ni kujitolea iwe ni nchi nzima na sio mkoa mmoja tu tena wilaya moja au mbili tu.
Nchi hii ina amani kote kule, kwanini Volunteer iwe ni Arusha pekee yake na sio Kigoma wala Kagera wala Singida wala Shinyanga wala Tabora wala Katavi au Mbeya au Mtwara na Lindi huko.
Kuna sehemu nilifika nikakuta kuna Volunteers wako 60 eti wanadili na kusaidia mbwa wa mitaani. Hospitali za Arusha hasa hizi za Serikali zima Wazungu volunteers huku Watanzania waliohitimu wao wakiambiwa nafasi za kujitolea hazipo.
Uhamiaji kama hakuna dili wanafanya wanapaswa hawa volunteers kuambiwa kuvolunteer sio Arusha pekee yake bali ni nchi nzima.
Hawa Wazungu ni wajanja wajanja sana, na uhamiaji ni kama kuna mshiko wanapewa na hawa Wazungu.
Nchi ina mikoa 25+ haiwezekani mkoa mmoja tu ndio uwe wa volunteers wote. Pia serikali inapaswa kuingilia kati na kuhakikisha kama ni kujitolea iwe ni nchi nzima na sio mkoa mmoja tu tena wilaya moja au mbili tu.