Arusha imebadilika kabisa

Vijana wengi wa mjini kipato Chao Kinatokana na madini, wengine huchimba, wengine huuza na kununua nk. Nk
Ahahahaha! Arusha wameishaisha wachimba madini wamebaki wafanya shughuli zingine.
.
Nina uzoefu na uchimbaji wa dhahabu pamoja na uuzaji wake pesa ya madini kwa kijana huwa haionekani.
Hao vipato vyao vinapatikana kwa shughuli zingine wasikudanganye kupata hilo dini ni very very tough na misheria imezidi kuwa migumu.
 
corona baba, tuwe wavumilivu hali ikitengemaa pesa za wazungu zitarudi kwa kishindo
 
Hata maofisini, hela ya chai imefutwa. Kunywa chai kwa mkeo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…