Arusha home tuition services

Mdau Makin

JF-Expert Member
Sep 5, 2014
767
207
Hello parents and learners
We are trained teachers...we are hereby to advertise to you that we are capable of teaching on home visit basis.

●●●●●●●●●●●●●●●●●●●●●●●●●●●●
1.ENGLISH MEDIUM CLASS 1-7:
SUBJECTS:
● Mathematics,
●English
●Science.

Fee is negotiable ,we teach 90 minutes per visit.

2. Secondary School Form1-4
SUBJECTS:
●PHYSICS
●MATHEMATICS
●CHEMISTRY
●BIOLOGY

3. English course

NOTE:

●We use advanced way of teaching to unlock your child's academically
●We are available all over Arusha including:
●USA-RIVER
●TENGERU
●ARUSHA MUNICIPAL
●MONDULI DISTRICT

◆ Please contact◆
★0786457998/0673287940

THANK YOU ALL
♣♣♣♣♣♣♣♣♣♣♣♣♣♣♣♣♣
 
Mwaka fulani nilifaudu sana maza mmoja alinipa bintiye nim-unlock mathematical ability. hadi leo sina imani na home based tuition. niwashauri mfungue center tuu maana si rahisi mpate mama mpole kama yule alonizawadiaga bintiye...
 
Mtakuwa mnawataka watoto/mabinti za watu muwachezee kwa kisingizio cha kuwafundisha kumbe mnaleta mazoea.
 
Mtakuwa mnawataka watoto/mabinti za watu muwachezee kwa kisingizio cha kuwafundisha kumbe mnaleta mazoea.

siku zote kama hauko siriazi na haujui unachotafuta katika maisha lazima ufanye hivyo unavyofanya......
 
Mtakuwa mnawataka watoto/mabinti za watu muwachezee kwa kisingizio cha kuwafundisha kumbe mnaleta mazoea.

vipi iwapo ukikabidhiwa mtoto wa darasa la 4 utamfanyia kama ulivyozoea kufanya...?
 
Back
Top Bottom