Chumba cha ma VIP kile, kule walikuwa wakikaa viongozi wanaojuana na viongozi asiee...mimi mtu wa msuli bedi sana, class nilikuwa siendi, baridi sikiweza aiseeHa haa wewe ndiye ulikuwa unashinda mtegoni? Mimi nilikuwa najichimbia chumba cha pale mtegoni (dereva wa Nissan ya shule aliweka saloon yake mle
Huna hela unataka ubembelezwe,tafuta pesa sela,mbaya sana wanaume kuomba kubembelezwa na mwanaume mwenzako,Wote mnataka kufanya mbadilishano afu unataka mmoja wapo awe mpole kwako
Lakini mbona me naona hakuna mkoa ambao una watu wenye lugha za kibiashara kama hiyo mikoa ya kaskazini au ulitaka upigiwe magoti
Mie kama kariakooHpana Hornet, si kubembelezwa....ni kusikilizwa!!! by the way unauza nini hapa mjini labda naweza kuwa mteja wako....!!!
Mie kama kariakooHpana Hornet, si kubembelezwa....ni kusikilizwa!!! by the way unauza nini hapa mjini labda naweza kuwa mteja wako....!!!
Mkuu Tuombe RadhiNa ujanja wangu wote ukijumlisha na uchakaramu wangu wote kuna Siku humu humu niliwahi kusema kwamba hakuna Mkoa ninaouogopa na kuuheshimu nchini Tanzania kama wa Arusha kuna ambao mlikuwa hamnielewi ila sasa naona taratibu naanza kueleweka kwa matukio ambayo yanawatokeeni wengine.
Wewe kama Mkoa tu ' Malaya / Makahaba ' wanaojiuza wana mibonge ya Mibisu ' mbavuni ' unategemea kuna ' Customer Care ' hapo? Huo Mkoa ukiishi inakubidi na Wewe kidogo ' Fyuzi ' zako zilizomo ndani ya Medulla Oblangata yako ziwe ama zimelegea au zimeachia ndiyo utauweza la sivyo kila siku utakuwa na ' majeraha ' tu.
Shikamooni Arusha.
🙂 SwadaktaaUnataka kubembelezwa?
Kama mteja utanunua kama siyo pita hivii...usituletee marinjirinji bwasheee