Arts Collection Forum

Arts Collection Forum

7eca53346d38b91e2da819c95cd9b541.jpg
 
Kwa hapa nyumbani nawaheshimu sana:-
-Masoud Kipanya
-Gayo
-Fedde
Kazi zao zinafikirisha sana wana convey message katika mtindo wa kipekee.
Kuna dogo anaitwa Olumide toka Nigeria aiseee kwa art work nimemvulia kofia hizi ni baadhi ya kazi zake
1649d838e08fb4d8d74d259646d7e0af.jpg

70e274c350c7c45a9331e2689ed0f077.jpg

8e8161ac51994ca914c4119de554d0c3.jpg

9f739fe6dedf4ac7d1e88e124540dd1a.jpg

d54600c4e9478895994ee605d694a063.jpg

2c9b9e1c3d1f21bca52f597491b01132.jpg
 
Kwa hapa nyumbani nawaheshimu sana:-
-Masoud Kipanya
-Gayo
-Fedde
Kazi zao zinafikirisha sana wana convey message katika mtindo wa kipekee.
Kuna dogo anaitwa Olumide toka Nigeria aiseee kwa art work nimemvulia kofia hizi ni baadhi ya kazi zake
1649d838e08fb4d8d74d259646d7e0af.jpg

70e274c350c7c45a9331e2689ed0f077.jpg

8e8161ac51994ca914c4119de554d0c3.jpg

9f739fe6dedf4ac7d1e88e124540dd1a.jpg

d54600c4e9478895994ee605d694a063.jpg

2c9b9e1c3d1f21bca52f597491b01132.jpg
very realistic,
 
Kwa hapa nyumbani nawaheshimu sana:-
-Masoud Kipanya
-Gayo
-Fedde
Kazi zao zinafikirisha sana wana convey message katika mtindo wa kipekee.
Kuna dogo anaitwa Olumide toka Nigeria aiseee kwa art work nimemvulia kofia hizi ni baadhi ya kazi zake
1649d838e08fb4d8d74d259646d7e0af.jpg

70e274c350c7c45a9331e2689ed0f077.jpg

8e8161ac51994ca914c4119de554d0c3.jpg

9f739fe6dedf4ac7d1e88e124540dd1a.jpg

d54600c4e9478895994ee605d694a063.jpg

2c9b9e1c3d1f21bca52f597491b01132.jpg
Maisha ya kiAfrica mazuri sana na matamu...nimeyamiss sana aisee!

tamaduni za kigeni hizi zinatuaribuu
 
John Kaduma ndio yupi huyo chief, naomba utupe kazi zake tumfahamu....wengine mm nawatambua kwa kazi zao tu majina siwafahamu.
Huyu jamaa alikuwa mchoraji wa majarida ya TABASAMU na SANI...!!! He is a legend aisee. Uzuri ni kwamba nimemshuhudia akiwa anafanya hizo kazi zake kwa sababu nilikuwa nakaa nae pale Dar, Mabibo. Ameshafariki. But alikuwa ni bro fulani mtaratibu sana.
 
Huyu jamaa alikuwa mchoraji wa majarida ya TABASAMU na SANI...!!! He is a legend aisee. Uzuri ni kwamba nimemshuhudia akiwa anafanya hizo kazi zake kwa sababu nilikuwa nakaa nae pale Dar, Mabibo. Ameshafariki. But alikuwa ni bro fulani mtaratibu sana.
Aisee SANI kitambo sana, ngoja nitamchek
 
Back
Top Bottom