very realistic,Kwa hapa nyumbani nawaheshimu sana:-
-Masoud Kipanya
-Gayo
-Fedde
Kazi zao zinafikirisha sana wana convey message katika mtindo wa kipekee.
Kuna dogo anaitwa Olumide toka Nigeria aiseee kwa art work nimemvulia kofia hizi ni baadhi ya kazi zake
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maisha ya kiAfrica mazuri sana na matamu...nimeyamiss sana aisee!Kwa hapa nyumbani nawaheshimu sana:-
-Masoud Kipanya
-Gayo
-Fedde
Kazi zao zinafikirisha sana wana convey message katika mtindo wa kipekee.
Kuna dogo anaitwa Olumide toka Nigeria aiseee kwa art work nimemvulia kofia hizi ni baadhi ya kazi zake
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hapana chief nipoo...majukumu tu!
Nipo Africa chief..!!
Huyu jamaa alikuwa mchoraji wa majarida ya TABASAMU na SANI...!!! He is a legend aisee. Uzuri ni kwamba nimemshuhudia akiwa anafanya hizo kazi zake kwa sababu nilikuwa nakaa nae pale Dar, Mabibo. Ameshafariki. But alikuwa ni bro fulani mtaratibu sana.John Kaduma ndio yupi huyo chief, naomba utupe kazi zake tumfahamu....wengine mm nawatambua kwa kazi zao tu majina siwafahamu.
Aisee SANI kitambo sana, ngoja nitamchekHuyu jamaa alikuwa mchoraji wa majarida ya TABASAMU na SANI...!!! He is a legend aisee. Uzuri ni kwamba nimemshuhudia akiwa anafanya hizo kazi zake kwa sababu nilikuwa nakaa nae pale Dar, Mabibo. Ameshafariki. But alikuwa ni bro fulani mtaratibu sana.