Arts Collection Forum

Arts Collection Forum

Mr Miller

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
11,449
Reaction score
25,821
Habariii
Moja ya burudani yangu kubwa ni ubunifu wa watu hasa wachoraji.
Pamoja na kwamba kila mchoraji anaweza kufikisha ujumbe wake kwa namna tofauti lakini ndani yake mimi napata burudani sana kwa maana amewasilisha kilichopo kwenye ubongo wake,

..yani its like he/she has transfered a document from softcopy to hardcopy.

kwa TZ tunao wakina Kipanya, Wa kudata, Ibra wa shokela na wengine.

Tushirikishane kazi hizo wapendwa...




94bc7a555c37c80f495ba37695daf573.jpg

4da1b785d20094b275668a4f11469fe6.jpg

8e3331d4c2a1248db45c080012114fb2.jpg

7691f17401fc962cdcbec9290631724f.jpg

b4176ee8410d4d922deb14fa36aaa340.jpg

7bfe8171eb41cd46c55aa23c22ef8c34.jpg

296acdfe10155750bb13915123210924.jpg

26947879bd39fdc4bd055f6742ebf72f.jpg

a62b02ad03dc98c925839d950af1fa49.jpg

41cbb9a1e32c8740b1ecb80254761dcb.jpg

37bc343ceed8baf977576638575d232f.jpg
 
Back
Top Bottom