Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
Habariii
Moja ya burudani yangu kubwa ni ubunifu wa watu hasa wachoraji.
Pamoja na kwamba kila mchoraji anaweza kufikisha ujumbe wake kwa namna tofauti lakini ndani yake mimi napata burudani sana kwa maana amewasilisha kilichopo kwenye ubongo wake,
..yani its like he/she has transfered a document from softcopy to hardcopy.
kwa TZ tunao wakina Kipanya, Wa kudata, Ibra wa shokela na wengine.
Tushirikishane kazi hizo wapendwa...
Moja ya burudani yangu kubwa ni ubunifu wa watu hasa wachoraji.
Pamoja na kwamba kila mchoraji anaweza kufikisha ujumbe wake kwa namna tofauti lakini ndani yake mimi napata burudani sana kwa maana amewasilisha kilichopo kwenye ubongo wake,
..yani its like he/she has transfered a document from softcopy to hardcopy.
kwa TZ tunao wakina Kipanya, Wa kudata, Ibra wa shokela na wengine.
Tushirikishane kazi hizo wapendwa...


