Arsene Wenger kufundisha PSG ?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,236
Siku chache baada kocha wa Arsenal Arsene Wenger kutangaza kung'atuka , kuna uvumi kwamba huenda akajiunga na Mabingwa wa Ufaransa PSG.

Tayari PSG imetangaza kwamba kocha wake Unai Emery atang'atuka mwisho wa msimu huu .

Tuendelee kusubiri .
 
Kocha wa dortmund wa zamani tuchel ndio anaenda PSG kuwa kocha wao mpya ila pia wanamtaka wenger akawe raisi wa club yao ili asaidie kwenye mambo ya financial
 
Kocha wa dortmund wa zamani tuchel ndio anaenda PSG kuwa kocha wao mpya ila pia wanamtaka wenger akawe raisi wa club yao ili asaidie kwenye mambo ya financial
Hivi Tuchel ana uzuri gani hadi afikiriwe kupewa timu kubwa ?
 
Back
Top Bottom