Arsene wenger asajili mchezaji wa pili

Arsene wenger asajili mchezaji wa pili

bona

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2009
Posts
3,798
Reaction score
1,444
Kocha mbishi na bahili mfaransa Arsene wenger amesajili mchezaji wa pili kutimiza lile lengo lake la kuimarisha kikosi... chezaji huyo si mwingine bali ni matheu flamini aliyemsajili for free baada ya kuachwa na timu yake ya ac milan.... huyu ni mchezaji wa pili baada ya kusajili for free kinda wa kifaransa sanogo!!!
 
Acheni kudandia matreni kwa mbele. Wenger hajamsajili Flamini. Flamini anatrain na Arsenal kama vile Beckham, Pires, Henry nk walivyokuwa wanatrain na Arsenal. Washabiki wenzangu wa Arsenal sometimes mnaboa kinoma, mnamlaumu kinoma hata kama hakuna ukweli na kilichoandikwa ktk press.
 
unajua nn kilichomfanya fergie astaafu? Soko la soka limeingiliwa siku hizi! Fergie alimtaka oscar chelsk wakampitia, akamtaka pastore psg wakampitia akakwama, market value na watu wanachotoa haviwian !akarud kwa scholes!
 
unajua nn kilichomfanya fergie astaafu? Soko la soka limeingiliwa siku hizi! Fergie alimtaka oscar chelsk wakampitia, akamtaka pastore psg wakampitia akakwama, market value na watu wanachotoa haviwian !akarud kwa scholes!

umenena vyema!
Bale hana thamani ya £94m
rooney hana thamani ya £40m
na wengineo hivyohvyo
 
Naona kasumba yake ya "kuwabeba" wafaransa wenzie inaendelea...

Hivi kwa nini huwa hatoki nje ya box?France tu??Kiala anayehusishwa laziamawe wa kutoka Ufaransa..Cabaye,Benzema, Kondogdia etc tec???
 
Hivi kwa nini huwa hatoki nje ya box?France tu??Kiala anayehusishwa laziamawe wa kutoka Ufaransa..Cabaye,Benzema, Kondogdia etc tec???

ozil,higuain,di maria,gustavo,jovetic,richard,michu,william,suarez,rooney,cesar
dah huyu mzee kwa wafaransa,hebu nawe ongezea wafaransa wengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom