@hamis77 natumai umeona mziki wa Champions league nilikukatalia ile siku wakati fixtures zinapangwa kuwa team Porto ni team ndogo ona sasa tunabana kende tu muda huu anything can happen Arteta still bado Uefa competition zinamsumbua (katika last 5 fixtures za home katika Uefa zote tumetolewa home)I don't know why kwa kweli imagine hii ni Porto then bado kuna hizo Real Madrid na wengineo si itakuwa balaa hata tukifuzu kwenda quarter final kwa shida still bado naona giza tu mbeleni