Kwa sababu Partey ni champions league player not otherwise. Partey anahitaji kwenda timu kubwa EPL sijui anajichanganya wapi naye
Nyumbu kwani unateseka?Partey haendi Arsenal, Mark my words
Kwanza ana release clause, tena ndogo tu, halafu Arsenal wanaendekeza njaa wanataka discount
Tutarud kufukua makaburiPartey haendi Arsenal, Mark my words
Kwanza ana release clause, tena ndogo tu, halafu Arsenal wanaendekeza njaa wanataka discount
Real SociadadKwahiyo Silva kaamua kwenda wapi?
Alafu asipoenda! Ndio mtakuwa mmepata kombe lolote msimu huu?Partey haendi Arsenal, Mark my words
Kwanza ana release clause, tena ndogo tu, halafu Arsenal wanaendekeza njaa wanataka discount
Anaumia sana , Partey to Arsenal ni swala la muda ,mwaka Jana alikuwa anakomaa Arsenal wana bajeti £45m , mwisho wa siku akapotea jumla , kwa Partey nitarud naahid kufukua kaburi ,Alafu asipoenda! Ndio mtakuwa mmepata kombe lolote msimu huu?Maana naona kama unatafuta pa kuondolea stress hahaha wenzio wale kina nanii wa kule jukwaa la watotowakiwa katika situation kama hiyo wanajipiga ban kwa muda wa siku 3....
Picha haihusiani na maneno hapo juu,
View attachment 1541326