Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Ndio nan huyuApart from BILD gazeti la kuaminika la German
Kuna MTU ndani ya klabu anadokeza kuwa Arsenal inapambana kumpata Erling Braut Håland January au summer
View attachment 1267599
Unai ndo alisema 'good ebening'#?With “good ebening” still in charge arsenal have to forget finishing the league above 9th position
Mchana nyavuNdio nan huyu
Inamaana huwajawazoea man u kwa tetesi?Man u watawapiku kwenye kumwaga mpunga.
Salzburg wanataka €85m, man u wameweka mezani €100m
Hajui EnglishUnai ndo alisema 'good ebening'#?
Waliomleta hawakujua kama yeye ni kilaza? Kama hawakujua hili basi bodi yenu ni vilaza. Nyie mliposema mtabeba ubingwa mwanzani mwa msimu hamkujua kuwa timu yenu inaongozwa na vilaza? Au na nyie pia ni vilaza?Hahahaaa
Ila Emery aisee ni kocha kilaza sijawahi kuona
Mmeipata hii View attachment 1267591
Kocha mpya akienda timu yoyote ile mashabiki huweka matumaini kwake...huwezi kumlaumu kocha anapokuwa anaanza kibarua...lakini ubora wake tunaupima kadri mechi zinavyoendelea kucheza....hapo ndo tunaona kama kocha anafaa ama hafai...Na hivyo sisi kama mashabiki kwa mechi timu ilizokwisha cheza tumeona kocha hajafit kwenye timu.Waliomleta hawakujua kama yeye ni kilaza? Kama hawakujua hili basi bodi yenu ni vilaza. Nyie mliposema mtabeba ubingwa mwanzani mwa msimu hamkujua kuwa timu yenu inaongozwa na vilaza? Au na nyie pia ni vilaza?
Kocha mpya akienda timu yoyote ile mashabiki huweka matumaini kwake...huwezi kumlaumu kocha anapokuwa anaanza kibarua...lakini ubora wake tunaupima kadri mechi zinavyoendelea kucheza....hapo ndo tunaona kama kocha anafaa ama hafai...Na hivyo sisi kama mashabiki kwa mechi timu ilizokwisha cheza tumeona kocha hajafit kwenye timu.
Kusema kweli mkuu, Mm niliingiwa wasiwasi toka uropa league final..,nikasema isiwe kesi lakini kwa mpira tuliocheza kwa hizi mechi za awali mmhh!!!, sioni mwanga mbele....Kama ni hivyo haeleweki si ajabu hata wachezaji wamemchoka....wahusika wachukue hatua sasaHajui English
Wachezaji hawamuelewi
Kwenye mazoez utasikia anasema Calm calm
Wachezaji wanashindwa kuelewa anasema come or calm
Anapiga broken nzuri tu
Huyu kocha kuanzia lugha had uwanjan ni Sifuri
Walimwamini ndo maana wakamsapotiSi wangeweka imani pia kwa Lampard ambaye alikuwa katika kandarasi mpya?
Umemjibu vizuri mkuuFabregas aliwahi kusema akiicheezea chelsea akatwe kichwa
Ulijua kilichotokea baadae.
Wewe hapo Chelsea mnakaaga na kocha milele?Waliomleta hawakujua kama yeye ni kilaza? Kama hawakujua hili basi bodi yenu ni vilaza. Nyie mliposema mtabeba ubingwa mwanzani mwa msimu hamkujua kuwa timu yenu inaongozwa na vilaza? Au na nyie pia ni vilaza?
Wewe hapo Chelsea mnakaaga na kocha milele?
Kadri siku zinavyokwenda , kocha anajulikana kama ana fit au hafit
Hata huyo lampard usije kushangaa mwisho wa msimu mkaandamana afukuzwe , waulize man u kabla na baada ya ole kupewa mkataba hali ilikuwaje na sasa ipoje
Atatimuliwa tu.,nyie muombeeni tuNacheka sana
Lakin yote kwa yote
Mungu endelea kumlinda kiumbe wako unai emery asifukuzwe kazi