Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Emery on KoscielnyNasikia Koscienly kasharudi majeruhini tena
Usimsifie saaaana kwa sababu mnamtaka na kumfananisha na kina iniesta, ki ujumla ni mchezaji mzuri na dau atakalouziwa litaonesha dhamani yake halisi. ni maoni yanguDenis Suarez advantages:-
- Iniesta like player who carries the ball well, very good player technically.
- He can play both CM & at the left side of midfield.
- Has good workrate. Emery knows him.
Personally feel he just is short of confidence & will turn out to be a good buy.View attachment 986808
Sent using Jamii Forums mobile app
Dau halithibitishi ubora wa mchezajiUsimsifie saaaana kwa sababu mnamtaka na kumfananisha na kina iniesta, ki ujumla ni mchezaji mzuri na dau atakalouziwa litaonesha dhamani yake halisi. ni maoni yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli inaweza isiwe factor but kwa namna ulivyomsifia maana yake value yake ipo juu unless ni wa kawaida sana. Ni bahati sana kumpata mchezaji mzuri sana kwa pesa ndogoDau halithibitishi ubora wa mchezaji
Kaulize bei ya morata pale chelsea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa morata una mfananisha na mchezaji gani apo arsenal ukimtoa Auba..??Dau halithibitishi ubora wa mchezaji
Kaulize bei ya morata pale chelsea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa morata naye mchezaji, ? Hata kwa welbek au eddie nketia badoSasa morata una mfananisha na mchezaji gani apo arsenal ukimtoa Auba..??
Achaga ushabiki wewe...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijamsifia , nimeeleza uhalisia ,Ni kweli inaweza isiwe factor but kwa namna ulivyomsifia maana yake value yake ipo juu unless ni wa kawaida sana. Ni bahati sana kumpata mchezaji mzuri sana kwa pesa ndogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Morata na yy mchezaji, morata hata kwa welbek bado,Sasa morata una mfananisha na mchezaji gani apo arsenal ukimtoa Auba..??
Achaga ushabiki wewe...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie endeleeni kusajili vichezaji vya paund million 20 halafu mtegemee kubeba EPL au FA ..kucheza uefa pia musahau kabisa...Sasa morata naye mchezaji, ? Hata kwa welbek au eddie nketia bado
Hebu angalia hii clip ,ya morata ucheke kidogoView attachment 988175
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Mkuu jiandae kutoa kitita cha maana kwa sababu ni bonge la mchezaji usiwe mbahili utampataSijamsifia , nimeeleza uhalisia ,
Situnamuona daily hapo barca,
Shida yake ni injury
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushakuwa mganga wa kienyejiNyie endeleeni kusajili vichezaji vya paund million 20 halafu mtegemee kubeba EPL au FA ..kucheza uefa pia musahau kabisa...
Sent using Jamii Forums mobile app
morata ameachwa mbali sana na eddie nketia.......usitake kuufananisha huo upumbavu na kina lacazette kinachombeba yeye ni kuwahi kuchezea vilabu vikubwa kama madrid na juve lakini kwa kiwango chake cha sasa hata giroud hampatiSasa morata una mfananisha na mchezaji gani apo arsenal ukimtoa Auba..??
Achaga ushabiki wewe...
Sent using Jamii Forums mobile app
morata umenunua kwa paund milion 70 kakufanyia nini wewe?weka morata na odoi sasa hivi sokoni alafu angalia nani atakimbiliwa..........mtaje mchezaji wa leicester city aliyezidi paund mllion 30 wakati wanatawazwa kuwa mabingwa wa EPL..............?Nyie endeleeni kusajili vichezaji vya paund million 20 halafu mtegemee kubeba EPL au FA ..kucheza uefa pia musahau kabisa...
Sent using Jamii Forums mobile app
lakini inawezekana ........cha msingi uwe na jicho tu maana kina mahrez,ngolo kante,vardy,madson,drinkwater,loss barkley, hawa wote wamesajiliwa kwa hizo pesa unazoziita ndogo na wana viwango vikubwa kuwapita wengi tu waliosajiliwa kwa pesa kubwa..........Ni kweli inaweza isiwe factor but kwa namna ulivyomsifia maana yake value yake ipo juu unless ni wa kawaida sana. Ni bahati sana kumpata mchezaji mzuri sana kwa pesa ndogo
Sent using Jamii Forums mobile app
BoraaaPremier League kweli kiboko! Leo Wolvehampton wameendeleza record yao ya kutokufungwa na timu kubwa leo kwenye FA CUP baada ya kuwazibua liverpool 2 kwa 1.... Naona liver anaanza kulegea mdogomdogo
Sent using Jamii Forums mobile app