Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Acha mbwembwe wewe, kwani mlianza mkiwa na wachezaji 9? kabla ya kupewa kadi nyekundu mlikuwa mnaongoza kwa goli ngapi?
Kubali tu kuwa mwaka kuna uwezekano mkubwa wa kumtimua Conte.
Kwani huyo Conte ameanza kutabiliwa leo ataondoka si tangu msimu uliopita.
 
wahurumie bado wanamajonzi ya msiba wa jana
 
Hesabu ya jumla kwa wachezaji woooote hailingani na hesabu ya mchezaji mmoja tuuu
Duh! jamani kwani tukichukua nafasi hii kwa kuwafariji tu na kuondoa itakuwaje! haya mambo ya kuanza kukokotoa hisabati yanatoka wapi?
 
Wenger anawasalimia anawapenda sana kuniambia niwakubushe mechi ijayo mnacheza na Liverpool mkae karibu na drip
Liverpool hawatuumizi vichwa, kwani Mpira wao ni tofauti na wale wacheza rubgy waliobebwa na refa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…