Dhamana ya ushindi kwa Arsenal leo ipo kwa Flamin maana ndio mchezaji pekee anayekaba ukiacha mabeki wengine wote wanajua kushambulia tu wakipoteza hawajui kutafuta
Mkuu kila timu inatakiwa kucheza mechi 38, mpaka sasa hivi timu zote zimecheza mechi 15 au 16, nusu kama sikosei itakuwa December 28th ambapo kila timu itakuwa imecheza mechi 19 ambazo ni nusu ya mechi 38.
Mkuu kila timu inatakiwa kucheza mechi 38, mpaka sasa hivi timu zote zimecheza mechi 15 au 16, nusu kama sikosei itakuwa December 28th ambapo kila timu itakuwa imecheza mechi 19 ambazo ni nusu ya mechi 38.