Chief Kingalu
New Member
- Nov 19, 2010
- 1
- 0
Timu ya soka ya arsenal nchini england imezidi kutia aibu kwenye uwanja wake wa nyumban emirates baada ya kukubali kipigo cha goli 3-2, the gunners wametia aibu mbele ya chogo (henry) ambaye alikuwa anashuhudia majita wake wakiutafuta mpira kwa ulimbo, arsenal imeshafungwa na w brom, newcastle utd na spurs kwenye uwanja huo, kwa staili hii arsena wenger au mr bean anahitaji huduma ya kwanza