Kuna demu juzi nimempata katika mazungumzo akadai anatoka nyanda za juu hao huwa hawachelewi kutafuta kamba (maskhara )kidogo nikawa nimepooza baada ya utambulisho huo tukabadili hadithi na kuanza kuongelea michezo akanihakikishia ni mshabiki wa arsenal nikashangaa nikamuuliza toka lini akasema toka anasoma sekondari kama miaka 8 iliyopita na hana mpango wa kuhama nikajaribu kumuhoji anawajua wasifu wa wachezaji wengi wa arsenal kifupi ni mwanamichezo basi nikasema hapa hapa huyu simuachi ana uvumilivu wa kutukuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.