wadau msinipige mawe... lakini mbona hii thread uimeishia kuwa photo gallery tuu?? kasimu kangu kanaumia kweli
anyway hongereni maana mnaongoza ligi so far
Huyu dogo ndio atakuwa kama A. Hleb .... .... ... ni kweli alicheza mpira mzuri last season lakini sidhani kama ataweza kucheza na timu nyingine kutokana na uchezaji tofauti Wacha Arsene Wenger akae nae mwaka mzima ili aende bure next season au akacheze Europe. Wenger hawezi kuwauzia Mancs au Chelsick![]()
Emirates Stadium is almost ready for the Emirates Cup. Arsenal, Boca Juniors, New York Red Bulls and Paris Saint-Germain will compete for this year's trophy on Saturday and Sunday and the groundstaff have been hard at work getting the pitch in pristine condition.On Wednesday morning the pitch was marked out for the first time this season .... ......
Vibonde watabakia hivyo! Boys will never be men