Tuwe tunajadili mambo humu jamvini kwa kuzingatia taratibu zilizopo humu na si kujifurahisha. Mtu aliyefariki siku 40 zilizopita utumbo wake uliwe leo hii na binadamu mwenye akili timamamu inaingia akilini kweli? Tafadhali naomba unieleweshe hapo ubungoubungo.wengine wanakula chakula kilichowekwa kautumbo ka maiti yule kwenye wali etc, kila mtu ana desturi yake...