Arobaini maana yake ni nini hasa?

Arobaini maana yake ni nini hasa?

Mwanamalundi

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2007
Posts
3,125
Reaction score
1,437
1. Mtoto anapozaliwa anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
2. Binadam anapofariki anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
3. Yesu alifunga kwa siku arobani
3. Wana wa israeil walikaa jangwani kwa miaka arobaini
4. Za mwizi ni arobaini

Nini maana ya arobaini. Naomba kuelimishwa. Nakushukuruni.
 
usiwe na papara, we umeleta uzi tulia ushonwe sasa kukaa unapost mwenyewe basi jijibu
anyway turudi kwenye mada, 40 ni kipindi cha mpito kwaajili ya kujirudi (restoration) au kujiandaa kwa kazi maalumu, ukitaka kujifunza zaidi fuatilia kwenye biblia habari za siku arobaini, miaka arobaini au nusu yake na hapo utaelewa zaidi
 
  • Thanks
Reactions: awp
usiwe na papara, we umeleta uzi tulia ushonwe sasa kukaa unapost mwenyewe basi jijibu
anyway turudi kwenye mada, 40 ni kipindi cha mpito kwaajili ya kujirudi (restoration) au kujiandaa kwa kazi maalumu, ukitaka kujifunza zaidi fuatilia kwenye biblia habari za siku arobaini, miaka arobaini au nusu yake na hapo utaelewa zaidi

Hujamjibu anyway! Why 40 and not 50, 30 ie any other number
 
usiwe na papara, we umeleta uzi tulia ushonwe sasa kukaa unapost mwenyewe basi jijibu
anyway turudi kwenye mada, 40 ni kipindi cha mpito kwaajili ya kujirudi (restoration) au kujiandaa kwa kazi maalumu, ukitaka kujifunza zaidi fuatilia kwenye biblia habari za siku arobaini, miaka arobaini au nusu yake na hapo utaelewa zaidi

asante
 
Du mkuu mimi sina jibu ila nasubiri wale wataalamu wa socilogy watusaidie
 
nitajibu kwa mtazamo wa kiroho zaidi sijui kwa wengine

40-katika imani ya kibliblia humaanisha kipindi cha mpito na ni ishara ya kukamilika kwa probabation period before full transformation
7-ni namba inayowakilisha kukamilia au ukamilifu

ila sijui kwa imani nyingine pamoja na maisha ya kawaida inakuaje......
 
Kunamti pia unaitwa MUAROBAINI

What's with the Hebrews and the number forty? Sounds like they were heavily into numerology.
  1. The Flood rain was forty days.
  2. After landing on the mountaintop, Noah waited forty days to open the windows in the Ark.
  3. Moses was on the mountain for forty days.
  4. The Hebrews walked the desert for forty years
  5. They search out the Promised Land for forty days
  6. Isaac was forty when he married Rebekah.
  7. Twice, Judges gave peace for forty years.
  8. One occasion, war for forty years.
  9. One Judge had forty sons…poor wife.
  10. Saul ruled for forty years.
  11. David ruled for forty years.
  12. Solomon ruled for forty years.
  13. Joash ruled for forty years.
  14. Prophecy said Egypt would be barren for forty years.
  15. Elijah was in the desert for forty days.
  16. Jesus walked the desert for forty days.
  17. Joseph walked Nineveh for forty days.
  18. Jesus was said to appear to his followers for forty days after his resurrection from the dead.
I've heard, but never checked, that forty years is mentioned forty times in the Bible.
The word ‘forty' is mentioned one hundred and forty times. This seems to be an obsession with the Jews…or ‘God.'


I know I have missed a few (?) here, but doesn't this raise a few questions about the stories? Do modern day Christian religions have an obsession with the number 40? I haven't heard anything about this.


 
Kunamti pia unaitwa MUAROBAINI

What's with the Hebrews and the number forty? Sounds like they were heavily into numerology.
  1. The Flood rain was forty days.
  2. After landing on the mountaintop, Noah waited forty days to open the windows in the Ark.
  3. Moses was on the mountain for forty days.
  4. The Hebrews walked the desert for forty years
  5. They search out the Promised Land for forty days
  6. Isaac was forty when he married Rebekah.
  7. Twice, Judges gave peace for forty years.
  8. One occasion, war for forty years.
  9. One Judge had forty sons…poor wife.
  10. Saul ruled for forty years.
  11. David ruled for forty years.
  12. Solomon ruled for forty years.
  13. Joash ruled for forty years.
  14. Prophecy said Egypt would be barren for forty years.
  15. Elijah was in the desert for forty days.
  16. Jesus walked the desert for forty days.
  17. Joseph walked Nineveh for forty days.
  18. Jesus was said to appear to his followers for forty days after his resurrection from the dead.
I've heard, but never checked, that forty years is mentioned forty times in the Bible.
The word ‘forty' is mentioned one hundred and forty times. This seems to be an obsession with the Jews…or ‘God.'


I know I have missed a few (?) here, but doesn't this raise a few questions about the stories? Do modern day Christian religions have an obsession with the number 40? I haven't heard anything about this.


Never thought of these. Anyway, thanks. Hopefully, watakuja kutuelimisha hapa.
 
1. Mtoto anapozaliwa anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
2. Binadam anapofariki anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
3. Yesu alifunga kwa siku arobani
3. Wana wa israeil walikaa jangwani kwa miaka arobaini
4. Za mwizi ni arobaini

Nini maana ya arobaini. Naomba kuelimishwa. Nakushukuruni.
Hiyo Avotor yako ndio kusema unalia kwa kukosa maana ya neno Arobaini? teh teh
4. ni msemo tuu- ukiashiria kuwa ukiiba ipo siku utakamatwa
3. Yesu alifunga siku arobaini akiamini kwamba ndani ya kipindi hicho atakuwa amefanya toba na kusema na mungu wake
2. Arobaini ya kifo - tunaamini kuwa katika siku hizo viuongo vya mwanadamu vitakuwa vimetenga na mwili na kuwa mdongo hatimaye kusahalika kabisa (biadamu ni mavumbi na mavumbini utarudi) haziwezi zikawa saba au 15 coz utakuwa hujamaliza kuoza na kurudi udongoni
1. arobaini ya kuzaliwa, ni imani kuwa baada ya siku arobaini kitoto kichanga kinaweza kuonwa ama kuchangamana na wakubwa tukiamini kuwa ameshaanza kukomaa, wengine hufanya sherehe, wengine kimyakimya na wengine kama mimi kwangu halipo kabisa kwahapa sina 40 wala 50.
 
Kichuguu et al, please help.

Because of 40 days / 40 nights of the Flood and 40 years wandering in the desert while the generation that refused to enter into the promised land all died off, 40 has come to symbolize a "period of cleansing" as well as one generation. (Jesus' fasting in the desert for 40 days and 40 nights is a fulfillment of of what the Israelites in the desert could not do - remain true to God and trust in His providing.) Later in the book of Judges, the people had peace off and on for periods of roughly 40 years. (The people would rebel against God and worship false god's. When they started experiencing difficulty, they cried out to God who delivered them. Afterward, they would have peace for about 40 years until the until the next generation -- which had not seen God's deliverance -- went back to the idols.)

Also, the period of cleansing for a woman and child after being born is 40 days or 80 days.

Ever heard of ALIBABA and FORTY thieves?

 
pia, vyuo vingi hapa nchini, ukipata marks chini ya asilimia arobaini(40) unafanya supplimentary exams!
 
1. Mtoto anapozaliwa anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
2. Binadam anapofariki anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
3. Yesu alifunga kwa siku arobani
3. Wana wa israeil walikaa jangwani kwa miaka arobaini
4. Za mwizi ni arobaini

Nini maana ya arobaini. Naomba kuelimishwa. Nakushukuruni.

Namba moja ya mtoto kutoka baada ya siku 40 inaonyesha uzazi haukuwa wa shida kwa mzazi na mtoto kwani kwa mujibu wa shirika la afya duniani kifo chochote cha mwanamama either kipindi yupo mjamzito au ndani ya siku 40 kinachukuliwa kama MATERNAL DEATH kwa maana nyingine ni kifo ambacho kimetokana na complication ya uzazi lakini kikitokea baada ya siku 40 hasa kuanzia 43 days kinachukuliwa kama kifo cha kawaida hivyo naweza sema ndio maana mtoto anatoka siku ya 40
 
Kunamti pia unaitwa MUAROBAINI

What’s with the Hebrews and the number forty? Sounds like they were heavily into numerology.
  1. The Flood rain was forty days.
  2. After landing on the mountaintop, Noah waited forty days to open the windows in the Ark.
  3. Moses was on the mountain for forty days.
  4. The Hebrews walked the desert for forty years
  5. They search out the Promised Land for forty days
  6. Isaac was forty when he married Rebekah.
  7. Twice, Judges gave peace for forty years.
  8. One occasion, war for forty years.
  9. One Judge had forty sons…poor wife.
  10. Saul ruled for forty years.
  11. David ruled for forty years.
  12. Solomon ruled for forty years.
  13. Joash ruled for forty years.
  14. Prophecy said Egypt would be barren for forty years.
  15. Elijah was in the desert for forty days.
  16. Jesus walked the desert for forty days.
  17. Joseph walked Nineveh for forty days.
  18. Jesus was said to appear to his followers for forty days after his resurrection from the dead.
I’ve heard, but never checked, that forty years is mentioned forty times in the Bible.
The word ‘forty’ is mentioned one hundred and forty times. This seems to be an obsession with the Jews…or ‘God.’


I know I have missed a few (?) here, but doesn’t this raise a few questions about the stories? Do modern day Christian religions have an obsession with the number 40? I haven’t heard anything about this.



Teh teh teh pia kuna kundi la music lilikuwa linaitwa UB40
 
Namba moja ya mtoto kutoka baada ya siku 40 inaonyesha uzazi haukuwa wa shida kwa mzazi na mtoto kwani kwa mujibu wa shirika la afya duniani kifo chochote cha mwanamama either kipindi yupo mjamzito au ndani ya siku 40 kinachukuliwa kama MATERNAL DEATH kwa maana nyingine ni kifo ambacho kimetokana na complication ya uzazi lakini kikitokea baada ya siku 40 hasa kuanzia 43 days kinachukuliwa kama kifo cha kawaida hivyo naweza sema ndio maana mtoto anatoka siku ya 40
Mchango mzuri. Barikiwa!
 
Back
Top Bottom