Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,437
1. Mtoto anapozaliwa anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
2. Binadam anapofariki anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
3. Yesu alifunga kwa siku arobani
3. Wana wa israeil walikaa jangwani kwa miaka arobaini
4. Za mwizi ni arobaini
Nini maana ya arobaini. Naomba kuelimishwa. Nakushukuruni.
2. Binadam anapofariki anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
3. Yesu alifunga kwa siku arobani
3. Wana wa israeil walikaa jangwani kwa miaka arobaini
4. Za mwizi ni arobaini
Nini maana ya arobaini. Naomba kuelimishwa. Nakushukuruni.