Ariel Sharon 'kutoka' Hospitali hivi Karibuni !!

DOTTO

Usisumbuke kwenda kumuuliza Prof mwakyusa, nitakujibu.

Mafisadi walikuwa wameshaanza kuchungulia michongo fulani fulani, hapa nchini, so mtu ambae angeweka kauzibe hapa alikuwa ni Mwalimu.

Jamaa aliondoka hapa kwa malipo ya Gvt, akiwa na hali nzuri kabisa, ila wajanja wakapata mwanya WAKAMALIZA ISSUE.

Baada ya mzee kumalizwa , ndo inchi IKAGEUZWA PANGO LA WEZI.

Ukweli ni kwamba kama angekuwepo kabla ya trh 31/10/10 nakwambia leo pale bungeni Marando angechukua uspika, kikwete angekuwa Bagamoyo akila pension ya ustaafu kwa miaka mitano, Slaa angekuwa Prezida, Makamba angekuwa nanlima Karoti Lushoto, Rostam angekuwa kakimbilia kwa baba yake Teheran, Lowasa angekuwa anaripoti J3 kwenye moja ya kesi zake za ubadhilifu nk,nk.

So jamaa asingepona maana hiyo nafasi waliitafuta kwa muda mrefu.

Jibu ni kwamba alimalizwa mafisadi wapate uwanja wa kujitawala,

Kwa sharon, yeye anachukuliwa shujaa ktk inchi yenye democrasia
 
Kwenda zako na avatar yako ya laana.

Mbona mnazunguka sana na jamaa yako?

Munauza unga nini?

aim 5th year Med student on clinical rotations vyuo vya wenzetu mwaka wa 5 ni wa kugain clinical experiance ,me & my buddy we do it as a volunteers, usiniletee sylabus ya muhimbili mi si mwanafunzi wa any medical uni TZ, kuzunguka na nani huyu ? huyu jamaa mu israel..? he is my classmate na anaakili kushinda wewe, na kuzunguka sehemu mbalimbali duniani sio lazima uwe muuze unga seems ur IQ is a lil bit lower! next week nitaondoka dar we will be in hangzhou city in china ntakueletea unga kama unataka ununuwe MORON,

avatar yangu sijui inakukerea nini but am all about human rights na jinsi zinavipopindishwapindishwa na hawa watu
 
Mungu ibariki Israel. Mungu hatakuja kuiacha israel. Nafurahi kwamba makazi mengine yanazidi kujengwa, na si muda mrefu the whole of Eastern Jerusalem will be swallowed na Jerusalem yote itakuwa mikononi mwa Israel. Naisubiria sana siku hiyo. jenga makazi west bank, jenga makazi eastern jerusalem.

God Bless Black People...
God Bless Afrikah
Amiin...
 
At least intelligent post from njiwa hahaha!
why then do you hate your buddy's nation?

haha siwachukii wa israel wote but i hate that fat cat ambaye ametoka hospitali, i hate those isreal kids waliokuwa waanadika msg katika zile heavy metals alafu broda yaani inamaana mimi huwa naongea pumba sana, haha i knw humu JF more than 70% hawavutiwi na mimi , 1st Avatar yangu, 2nd mimi CCM 3rd aim a truth teller.
aim one of those few people in JF who can see the big picture in front. unajuwa kila mtu anavutia upande wake, niliwahi ku share darasa la psychology na demu flani from ghana. kuna theory inaitwa "momento mari" remember you must die! i was explaining to her hiyo kitu ipo katika book of philosophy! aliposikia philosophy baaaasi akaanza kunikemea kwa jina la yesu! .. mkuu nakushauri weka bible pembeni for 1 day tafuta hii novel inaitwa "sophies world" novel about history of philosophy utajifunza mengi saaana! at list utaweza kuona big picture infront of u
 


Dua la kuku halimpati mwewe.
Mateso aliyoyapata kukaa miaka 2 kwa koma sio mchezo nyerer alikaa muda gani kwa koma? hata miezi miwili hakufikisha
ISRAEL is Blessed period
You can whine and cry the way you want, but the truth will Remain the same. Israel is Blesses by God, Devil is not going to change that.

Get it in your head.... Israel is Blessed and they have the right to be in the land they were given by GOD...:smile-big::smile-big:

Lakini ajabu na yeye si kazaliwa Palestina?
Hata kama alizaliwa Palestina ndio ana haki ya kuwauwa Wapalestina Shetani mkuu huyo Sharon?
Dua la kuku.....:smile-big:

:nono::nono::nono::nono: sijajua unazungumza hivyo mwanadamu uliye chini ya kauli ya Mungu wa upendo
ama chini miungu ya vurugu, usifikie hatua hiyo kwa sababu ya kukariri bado wewe ni mwanadamu
na yeye ni mwanamu, Mungu yule muumba wa mbingu ardhi siku zote kaagiza watu kupendana
hata kama watatofautiana kweny milengo ya siasa imani:nono::nono::nono:
Hata kama nipo chini ya kauli ya Mungu huyu shetani muuaji mkuu wa Wapalestina si mtu mzuri katika hii Dunia yetu.

Namchukia sana ariel sharon kwa haya Mauaji ya Mwaka 1982 Sabra na Shatila Soma hapa chini

Sabra and Shatila massacre

Main article: Sabra and Shatila massacre
During the 1982 Lebanon War, while Sharon was Defense Minister, the Sabra and Shatila massacre occurred between September 16 and 18. Between 800 and 3,500 Palestinian civilians in the Sabra and Shatila refugee camps were killed by the Phalanges—Lebanese Maronite Christian militias. The Security Chief of the Phalange militia, Elie Hobeika, was the ground commander of the militiamen who entered the Palestinian camps and killed the Palestinians. The Phalange had been sent into the camps to clear out PLO fighters while Israeli forces surrounded the camps, blocking camp exits and providing logistical support. The killings led some to label Sharon "the Butcher of Beirut".[12]
An Associated Press report on 15 September 1982 stated:
Defense Minister Ariel Sharon, in a statement, tied the killing [of the Phalangist leader Gemayel] to the PLO, saying: "It symbolises the terrorist murderousness of the PLO terrorist organisations and their supporters." Habib Chartouni, a Lebanese Christian from the Syrian Socialist National Party confessed to the murder of Gemayel, and no Palestinians were involved. Sharon had used this to instigate the entrance of the Lebanese militias into the camps. Robert Maroun Hatem, Elie Hobeika's bodyguard, stated in his book From Israel to Damascus that Hobeika ordered the massacre of civilians in defiance of Israeli instructions to behave like a "dignified" army.[13]
The investigative Kahan Commission found the Israeli Defence Forces indirectly responsible for the massacre and that no Israeli was directly responsible for the events which occurred in the camps. The commission also asserted that Israel had indirect responsibility for the massacre since the I.D.F. held the area.
In their recommendations and closing remarks, the Commission determined that the massacre at Sabra and Shatilla was carried out by a Phalangist unit, acting on its own but its entry was known to Israel and approved by Sharon. Mr. Begin was found responsible for not exercising greater involvement and awareness in the matter of introducing the Phalangists into the camps. Defence Minister Ariel Sharon was found to bear personal responsibility "for ignoring the danger of bloodshed and revenge" and "not taking appropriate measures to prevent bloodshed". Sharon's negligence in protecting the civilian population of Beirut, which had come under Israeli control amounted to a non-fulfillment of a duty with which the Defence Minister was charged.[14] The commission recommended in early 1983 the removal of Sharon from his post as Defense minister and stated:
We have found...that the Minister of Defense [Ariel Sharon] bears personal responsibility. In our opinion, it is fitting that the Minister of Defense draw the appropriate personal conclusions arising out of the defects revealed with regard to the manner in which he discharged the duties of his office — and if necessary, that the Prime Minister consider whether he should exercise his authority...to... remove [him] from office."[15] Sharon initially refused to resign as Defense Minister and Prime Minister Menachem Begin refused to fire him. After a grenade was tossed into a dispersing crowd of an Israeli Peace Now march, killing Emil Grunzweig and injuring 10 others, a compromise was reached: Sharon agreed to forfeit the post of Defense Minister but stayed in the cabinet as a Minister without Portfolio.
Sharon's resignation as Defense Minister is listed as one of the important events of the Tenth Knesset.[16]
In its 21 February 1983 issue, Time published a story implying Sharon was directly responsible for the massacres.[17] Sharon sued Time for libel in American and Israeli courts. Although the jury concluded that the Time story included false allegations, they found that Time had not acted with "actual malice" and so was not guilty of libel.[18]
On 18 June 2001 relatives of the victims of the Sabra massacre began proceedings in Belgium to have Sharon indicted on war crimes charges.[19]. Elie Hobeika, the leader of the Phalange militia who carried out the massacres, was assassinated in January 2001, several months before he was scheduled to testify against Sharon for the trial. [20] The Arab Press have widely speculated that Hobeika's assassination was ordered by Israel. [21] In June 2002, a Brussels Appeals Court rejected the lawsuit because the law was subsequently changed to disallow such lawsuits unless a Belgian citizen is involved.[22]

Ariel Sharon tutampeleka kwenye Mahakama ya Dunia yaliyopo huko The hague Holland akajibu Mashitaka ya Mauaji ya WaPalestina Mwaka 1982. Mwenyeezi mungu atamhukumu Ariel Sharon shetani Mkuu wa israil Ameen.
 
nilikuwa nimeshamsahau kabisa huyu jamaa. Atakumbukwa kwa ile fence ya umeme aliyotengeneza huko Morocco kuzuia kuzuia watu wa western sahara wasitoroke
 
alafu broda yaani inamaana mimi huwa naongea pumba sana
I didn't mean that maana sijasoma post zako zote. Ila kwa zile ambazo nimekumbana nazo umekuwa mnazi mno mpaka wakati mwingine hauoni ukweli! Anyway tutafika tu my friend :cool:
 
YeshuaHaMelech said:
Ahaa! Ni nini unaamini kuhusu unakokwenda baada ya kuondoka katika sayari hii kupitia kamlango kanakoitwa kifo?<br />
Just that <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile-big.gif" border="0" alt="" title="Smile Big" smilieid="286" class="inlineimg" />
Why is it important to u?
 
Barukh attah adonai eloheinu melekh ha-olam, she'asani betzalmo (Blessed art thou Lord our God, Master of the universe, who created human beings in His image):yield::yield:

Ine maatov u'nam im s'hevt achim gum y'alag.

Shalom ee! Israel ufanikiwe kuliko maadui zako wate wakupingao na wakuinamie na kukusujudia kwa MAFANIKIO YAKO YA KIMWILI N KIROHO
 
Jamani mnakitafakari vipi kitendo cha CUF? kwa maoni yangu sasa tumepata CCM mbili yaani CCM family ambayo ni CUF na CCM origional.
Hizi nyuzi za lugha ya mkoloni zina mambo kweli, thread inazungumzia kitu kingine na mchangiaji kitu kingine, kazi kweli kweli.
 
Mwenyeezi mungu kamuonyesha Kifo cha koma bado wakati wake a kufa kwanza apate adhabu hapa hapa duniani kisha kesho siku ya hukumu, angojee adhabu ya moto Shetani mkubwa wa israil huyu Mungu amlani kwa kuwatesa wapalestina wanyonge.

Mkuu una roho ngumu sana,nakushauri kama alishawahi kukudhuru wewe binafsi au nafsi ingine, mwachie muumba wake aamue mwenyewe.
 
Back
Top Bottom