Arfi kuondoka CCM

Dah CCM hawana fadhila ya makubaliano mliyompa katika Bunge la Katiba, Aibu kwake ulishatumiwa huna thamani tena.
 
Hafai hata kidogo, yeye shida yake ni madaraka na uongozi. Kwake anajitafutia chakula tu hapo!

 
Bora angeenda ACT walikokimbilia watoto wake, sijui kwa nn hawakumshari mzee
 
Shonza na Mwampamba wanatamani kuondoka CCM ila wanaona aibu.
 
Hii inaonesha kukosa msimamo wa kisiasa. Hatari kwa watanzania kutoka kwa viongozi wa aina hii. Tuwakatae popote watakapokua.
 

atahangaika sana, dhambi ya usaliti inamtafuna!
 
Heri ya mchawi kuliko mnafiki, anavuna alichopanda sasa
 
Mnunulieni kyondomu za kike malaya huyu anapigwa mande kila kona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…