Hakuna gamba wala anayetumika na ccm hii kitu ndio itatuangusha chadema inabidi tukubali ukweli iki tujipange na si kupinga kila kitu na mtu anayesema ukweli unaitwa gamba.je ukweli ni upi kama mimi nadanganya?
Mwanachama mwenye uadilifu na chama chake matatizo kama haya anayapeleka kunakohusika sio hapa kila mtu aone ndio nini? Ndio umetatua tatizo?
Ndio maana watu kama nyie tunawaona gamba tu...
Hakuna gamba wala anayetumika na ccm hii kitu ndio itatuangusha chadema inabidi tukubali ukweli iki tujipange na si kupinga kila kitu na mtu anayesema ukweli unaitwa gamba.je ukweli ni upi kama mimi nadanganya?
Mzee mpaka nimeamua kuandika hapa sikuwa na jinsi kumbuka nipo mpanda pia hapa hakuna ofisi nitatoa maoni wapi?tulimwambia ukweli kwenye kikao akatupa kadi.je ungekuwa wewe ungefanya nini?
Mzee mpaka nimeamua kuandika hapa sikuwa na jinsi kumbuka nipo mpanda pia hapa hakuna ofisi nitatoa maoni wapi?tulimwambia ukweli kwenye kikao akatupa kadi.je ungekuwa wewe ungefanya nini?
Mkuu haya unayoyamwaga hapa hayana tofauti na ya wale waliotimuliwa na jana wakajiunga na chama cha magereza.. Kuleta hapa unadhani kutasaidia vipi ku-solve tatizo kama ni kweli yapo hayo usemayo..?
oooh sasa zamu ya huyu bwana eeeh shonza mshammaliza sasa bado arfi duuhNdugu wanajamvi,huyu jamaa ambae ni makamu mwenyeketi wa CHADEMA taifa na ni mbunge wa Mpanda kati au mpanda mjini ila huyu hana alilofanya hapa jimboni kwake.Tangu awe mbunge, vijana wengi wamekihama chama,mashina mengi ya CHADEMA hapa mjini yamevunja na kuwekwa bendera za CCM pia jamaa anaendeleza makundi na majungu na hataki kuambiwa ukweli na ndio maana alitupa kadi ya chama alipoulizwa na vijana juu ya maendeleo ya chama.
Mbunge anahusishwa kutumiwa na mheshimiwa PINDA kuiua CHADEMA hapa Mpanda eti sababu yeye hagombei tena ubunge.Cha maana alichofanya mpaka sasa ni kumlipia mzee mmoja aliyempigia kampeni chakula kwa msomali mmoja panaitwa madini cafetaria na anamlipia kwa mwezi.
Sasa ni mwezi wa tatu sasa ofisi ya CHADEMA hapa MPANDA MJINI imefungwa sababu wameshindwa lipa kodi ya pango.Haonekani ofisini kwake na ofisi yake inatia aibu kwa kujaa maji katika kipindi hiki cha mvua mkoani humu. Najitahidi kuapload picha kuonesha ofisi ya mbunge ilivyojaa maji na yaliyokuwa mashina ya CHADEMA ambayo sasa yamewekwa bendera za CCM lakini inashindikana.
Chadema kina sifa ya kufanya maamuzi magumu mfukuzeni haraka.
Kama kawaida ya wenzetu, umeishakimbilia chooni..Arfi na Zito wameingia choo cha kike!
Huyu Arfi ,Zitto na Professa Saffari wafukuzwe tu CHADEMA wanaharibu mikakati ya watu
Huyu Arfi ,Zitto na Professa Saffari wafukuzwe tu CHADEMA wanaharibu mikakati ya watu
wewe kama mwana cdm umechukua hatua gani?
Mkuu nakubaliana na wewe kwanza arfi snitch tu na ashukuru ni makamu m/kiti lakin bado dawa yake ipo jikon hana tofauti na mzee buda we mwanaume unazira eti unatupa kadi ya uanachama anachojivunia nin? Tunajua mpango anaoendelea nao yeye na pinda ila atainywa tu japo chungu maana wewe sio wakwanza kulalamika kuhusu mpanda na uongoz wa huyo jamaa
unashambuliwa kwa sababu hapa sio sehemu sahihi ya kutatua matatizo ya chama,ni kweli wewe ni gamba
Kumbe unaa mengi moyoni sasa nimeshakuelewa...nia yakoKinachonisikitisha cdm hatupendi kuambiwa ukweli nimewauliza nani anithibitishie kama ninachosema ni majungu hakuna anayesema wanabaki kubwabwanya.CDM SI MALAIKA KUNA MAPUNGUFU.JE PESA ZA RUZUKU ZINAENDA WAPI IKIWA TU HATA HEADQUARTER WAMEPANGISHA?WTF