jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,782
karibu sana!
yani humu ni full kutokuwa mchoyo wa material
kushare kwa kwenda mbele
halafu principal wetu anaturuhusu kudesa wenzio
na maksi zinakuwa za wote!
kufanya make up za test kunaruhusiwa sana tu
ukifail wa leo maksi ndogo zinafutwa unasubiriwa ufaulu wa kesho ndo maksi kuwa zinawekwa!
wacha kabisa hii shule ni tamu ile mbaya!
wepesi tu wa kujifunza ,kukubali kuwa swali umelikosea na kuomba masahihisho
kusaidiana kwenye test na mitihani ndo mpango mzima wa darasa hili!
We naona ndio hili somo la Speaker umelielewa kuliko wote hapa, nafikiria kukutafuta unieleweshe kuhusu hiyo "shule"...
Maana mi ni mbulula kabisa lol
Last edited by a moderator: