Vyuo vya ufundi bila diploma holders ni ngumu kutoa majina na mwaka huu kwa diploma kwenda degree kumecheleweshwa sana ndiyo maana hakuna diploma holder ata mmoja amejua kaenda wap?, kwahiyo ukisikia Nacte wametoa selection kwa watu wa diploma kwenda degree haitachukua muda utaona Dit,Must wanaachia majina yote kwa pamoja