CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Habari za asubuhi wadau?
Naomba kuuliza:
Bwama - Kisarawe ina ardhi nzuri na tambarare ambayo mtu anaweza skalima mananasi?
Na je huduma za jamii kama vile shule, maji, umeme, afya, usalama wa raia (polisi) zipo karibu?
Vipi kuhusu barabara?
Na mashamba yanauzwa bei gani huko?
Naomba kuuliza:
Bwama - Kisarawe ina ardhi nzuri na tambarare ambayo mtu anaweza skalima mananasi?
Na je huduma za jamii kama vile shule, maji, umeme, afya, usalama wa raia (polisi) zipo karibu?
Vipi kuhusu barabara?
Na mashamba yanauzwa bei gani huko?