Arabs and Muslims' Silence on Syria is Unacceptable!!

Arabs and Muslims' Silence on Syria is Unacceptable!!

Status
Not open for further replies.
Dini ya jumlisha iko wapi au hakuna mafuta ndo maana hawasemi
Jamani sisi ni Great Thinkers, sasa udini wa nini hapa? Tunazungumzia kimya cha waarabu kwa mauaji yanayofanywa na Bashir el Assad kwa watu wake, tutafakari ki Great Thinker ili tuelewe kulikoni kimya hicho na si kuanza kukosoana kiimani.
Ukweli ni kwamba Marekani inalipa fadhila kwa Hayati Baba wa kijana huyu ambaye alikubuhu kwa ukibaraka kwa Marekani na nchi za magharibi kiasi cha kuitwa 'Rafiki yetu'. Binafsi sioni sababu za kumwadhibu Gadaffi eti kwa mauaji ya watu wake wakati huyu Assad anafanya hivyohivyo bila kukemewa!
 
Jamani sisi ni Great Thinkers, sasa udini wa nini hapa? Tunazungumzia kimya cha waarabu kwa mauaji yanayofanywa na Bashir el Assad kwa watu wake, tutafakari ki Great Thinker ili tuelewe kulikoni kimya hicho na si kuanza kukosoana kiimani.
Ukweli ni kwamba Marekani inalipa fadhila kwa Hayati Baba wa kijana huyu ambaye alikubuhu kwa ukibaraka kwa Marekani na nchi za magharibi kiasi cha kuitwa 'Rafiki yetu'. Binafsi sioni sababu za kumwadhibu Gadaffi eti kwa mauaji ya watu wake wakati huyu Assad anafanya hivyohivyo bila kukemewa!

Like father like son
 
Hata na mimi, nimeshindwa kushangaa! Sijawasikia Arab League wakiomba no-fly zone kwa syria. Na kaka viranja na polisi wa dunia ,NATO,US pia wako kimya!
 
Angalia Arab league respond on Syria, just worried a little bit.

Arab world 'worried' over Syria crisis

Cairo - Outgoing Arab League chief Amr Mussa said on Saturday the Arab world was worried about events in Syria, where President Bashar al-Assad's regime is pursuing a deadly crackdown on anti-government protests.

"There is a worry in the Arab world and in the region concerning the events in Syria," Mussa told reporters after a meeting in the Egyptian capital focusing on events in Libya.

The Syrian crisis is the subject of "many contacts" between leaders across the region "to exchange points of view," he added.

He dismissed the idea that his remarks constituted interference in Syrian affairs, saying that he was only expressing "concern about an important country," and said "it's normal that we should be worried."

Mussa will soon step down as chief of the Arab League to be succeeded by current Egyptian Foreign Minister Nabil al-Arabi, who was elected to the post on May 15.

Mussa has decided to contest the top job in his native Egypt, in the first presidential election since Hosni Mubarak was overthrown in February following 18 days of popular protests.

How about first reaction to Libya?

The Arab League asked the U.N. Security Council Saturday to impose a no-fly zone over Libya to protect civilians from air attack by forces of Moammar Gadhafi's embattled government, giving crucial backing to a key demand of the rebel forces battling to oust the Libyan leader.
Foreign ministers from the 22-member Arab bloc, meeting in Cairo, also left the Libyan leader of more than 40 years increasingly isolated, declaring his government had "lost its sovereignty."
They also appeared to confer legitimacy on the rebel's interim government, the National Libyan Council, saying they would establish contacts with the umbrella group and calling on nations to provide it with "urgent help."

League Secretary-General Amr Moussa stressed in remarks afterward that a no-fly zone was intended as a humanitarian measure to protect Libyan civilians and foreigners in the country and not as a military intervention.
"The Arab League asks the United Nations to shoulder its responsibility ... to impose a no-fly zone over the movement of Libyan military planes and to create safe zones in the places vulnerable to airstrikes," said a league statement released after the emergency session.

Arab League is very consistent
 
Kwenye nchi kavu, Iran inapakana na moja tu ya kiarabu ambayo ni Iraq. Imetenganishwa kwa bahari na nchi kama Saudia, UAE, Qatar, Oman na Bahrain. Hizi zote ni nchi za Kiarabu. Majiran zake wengine ni Turkey, Turkmenistan, Afghanistan, Pakistan na Azerbaijan. Hizi pamoja na Iran wenyewe sio waarabu, ila ni largely Shia muslims.

Sababu za kuandamana kwa kweli siwezi kujua. Hasa kwa vile sipo Tanzania kwa sasa. Ila kwa uzoefu wangu, siku zote kwenye maandamano, kunakuwepo na watu wachache wenye uchungu fulani na wanajua ukweli fulani. Hao wachache, husukumwa na uchungu ukweli huo, na si lazima uchungu huo uwe umesababishwa na jambo wanalo andamania. Mara nyingine huwa ni kwamba wamepata sababu ya kuandamana na kuonesha uchungu wao ambao unaweza kuwa ulisababishwa na jambo lingine kabisa. Wachache hao wanye uchungu wa kweli, wakiwa na ushawishi mkubwa, basi hupata wafuasi ambao ndio wanakuwa sehemu kubwa ya wanaoandamana.
Lakini kama nilivyosema, siwezi kujua hasa maandamano ya Tz kwa vile sipo TZ kwa sasa.
At least Saudia na Turkey wamevunja ukimya na wamemkemea Al Assad aache kuua watu wake. Bado mufti wetu sijui anangoja nini
 
lakini ni kawaida kwa waislam na ulimwengu wa kiarabu kutokemea mabaya yakitokea......
mfano mauaji yanayofanywa na alqaeda na alshabab hayajawahi kemewa na waislam.....matokeo yake ni walimwengu wanadhani pengine uislam uko nyuma ya uuaji unaofanywa na vikundi hivyo.
 
US akiingia dunia tunaandamana kumlaani sasa waarabu acheni wanyoshane wenyewe wamalizane huyo ASSAD ni shetani mkubwa ila hakemewi inauma.

Mnataka US iingilie kila mzozo hawana development plans za home America???
Hii inadhibitisha kuwa US akijiweka kando raia moto huwawakia
 
Bakwata mko wapi, wananchi wasio na hatia wanachinjwa na Assad lakini mmekaa kimya.
Nenda zako!.
Ungeuliza kuhusu ukimya wa ulimwengu kutokana na uovu wa NATO na US huko Libya na kwengineko ningekuelewa.
 
US akiingia dunia tunaandamana kumlaani sasa waarabu acheni wanyoshane wenyewe wamalizane huyo ASSAD ni shetani mkubwa ila hakemewi inauma.

Mnataka US iingilie kila mzozo hawana development plans za home America???
Hii inadhibitisha kuwa US akijiweka kando raia moto huwawakia

ASSAD ni muuaji, tena kibaya zaidi anauwa watu wake kila ijumaa na hata wakti huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Waarabu na jumuiya ya kiislam imekaa kimya. US akitia timu akaokoe watu kufa basi kesho baada ya swalat miskiti yote hapa mjini maandamano kila kona
 
Hizi mambo huwa ngumu sana. Imani ni jambo jema, lakini unapotumia imani kuharibu, basi inakuwa hatari na hiyo imani inakuwa wasiwasi. Swali, la kujiuliza, hawa jamaa wanapo wauwa ndugu zao, wanapata thawabu gani?
 
Kama kuna watu hawaaminiki ni waarab na maana Usa huwa anajua kucheza nao vizuri!
 
Soon tutakuja kulinda raia na B 52 and other sophisticated weapons, ngoja tumalize haka ka kibarua ka Tripoli, naona kanataka kuwa kagumu. Tukishalinda raia Syria ndipo tutasogea Somalia, Sudan na kwingineko kwenye ukiukwaji wa haki za binadam.
 
A-rabs can't do a thing, inter-alia, allah can't help himself.
 
Nenda zako!.
Ungeuliza kuhusu ukimya wa ulimwengu kutokana na uovu wa NATO na US huko Libya na kwengineko ningekuelewa.

Ulimwengu ndio akina nani hao? Maarabu ha ha ha ha ha ha ha. Hao ulimwengu wameshindwa kulisha Somalia. Waache NATO wamtandike mwarabu wa libya na dini yake ya islam, bana. Nini bana veve.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom