Arab league inazitumia vibaya nchi za kiafrica

Tango73

JF-Expert Member
Dec 14, 2008
2,180
1,291
Nchi ya Senegal hivi sasa ipo katika mgogoro mkubwa sana na taifa la Israel baada ya kuhusika katika UN kuanzisha azimio la kupinga ujenzi wa makazi ya wayahudi katika ukingo wa magharibi wa mto Jordan.

Inashangaza sana kuona nchi za watu weusi zikijikanyagaga kuhusu ugomvi wa Israel na Palestina. Israel imesimamisha misaada yake yote kwa Senegal na kumuita balozi wake nyumbani.
 
Israel yenyewe inaishi kwa misaada kutoka Marekani,hawana uwezo wa kununua hata Bombardier Bila msaada.na Senegal mkuu ni mwanachama wa UN na kila mwanachama anayo haki ya kupeleka resolution katika UNSC kwa jambo linalohusu usalama wa nchi yoyote against nchi yoyote,Arab League inazitumia vp hapo nchi za Kiafrika? Au ndio Israel ni nchi takatifu isiulizwe? Kama hio ndio imani yako pole sana Mkuu haki lazima ibakie kuwa haki tu milele.
 
kwani unaposema arab league inanyanyasa nchi za afrika unamaanisha nini?. Wapalestina hawana haki??. Israel wanajenga juu ya ardhi ya waarabu kila kukicha mbona wewe hukasiriki kwa hilo. Lazima ni mmoja katika ma CCM muliozoea kudhulumu kiasi kwamba ukiona mwengine anadhulumiwa wewe unafurahia.
 
Arab league imeingiaje hapo? Mbona unaondoka? Egypt walioandaa mwanzo waliufyata, Senegal, Malaysia, Venezuela na Newzeland ndio walioandaa azimio, sasa Arab League iko wapi.
 
Haya MaUN rezelusheni yanatumika kama EU Na USA hawazipendi nchi fulani.Mfano wa Iraq wakati wa Saddam Hussein Au Iran wakati wa Ahmedajan Na mikwara mingi.Israel Na Africa Kusini ya makaburu kulikuwa Na (maoni ya mataifa)resolution ambazo hazifatwi Na wa Israel Hata wakati wa makaburu.
Umoja wa Mataifa NI vichekesho Kwa kweli.Hii NI mara ya kwanza USA hawakutumia ngumu ya (veto)
WaIsrael wamepaniki sana tu
 
Israel yenyewe inaishi kwa misaada kutoka Marekani,hawana uwezo wa kununua hata Bombardier Bila msaada.na Senegal mkuu ni mwanachama wa UN na kila mwanachama anayo haki ya kupeleka resolution katika UNSC kwa jambo linalohusu usalama wa nchi yoyote against nchi yoyote,Arab League inazitumia vp hapo nchi za Kiafrika? Au ndio Israel ni nchi takatifu isiulizwe? Kama hio ndio imani yako pole sana Mkuu haki lazima ibakie kuwa haki tu milele.
Marekani ina ihitaji zaidi Israel kuliko Israel inavyoihitaji marekani
 
Nchi ya Senegal hivi sasa ipo katika mgogoro mkubwa sana na taifa la Israel baada ya kuhusika katika UN kuanzisha azimio la kupinga ujenzi wa makazi ya wayahudi katika ukingo wa magharibi wa mto Jordan. inashangaza sana kuona nchi za watu weusi zikijikanyagaga kuhusu ugomvi wa Israel na Palestina. Israel imesimamisha misaada yake yote kwa Senegal na kumuita balozi wake nyumbani.

Mbona Israel walimwomba Donald Trump amwambie raisi wa Misri Alsisi asipige kura na Misri hawakufanya hivyo?

Ndiyo maana Trump amesema akiingia ofisini pale Oval mambo mengi yatabadilika.

Senegal imefuata mkumbo tu bila kufahamu madhara yake.
 
ndugu kasome vizuri tena inchi nne ndo zilizopeleka hiyo resolution Venezuela, newzland na senegal. na baraza lote likapiga kura huku marekani akijitoa kitu ambacho hakikizuia resolution kupita, fata uhalisia katika baraza la usalama la umoja wa mataifa lenye inchi kumi na tano kumi na nne wamekubali mmoja hajapiga kura bado una laumu senegal. Halafu Israeli yenyewe inategemea misaada wapi inatoa misaada
 
Israel haiwezi kuishi kwa kutegemea msaada Wa marekani, ila marekani ndo inategemea misaada mingi kutoka israel, Tambua matajiri wakubwa walio wengi huko marekani asili yao ni israel,na technology kubwa wanategemewa waisrael, Tikiseni tu mtaona moto utakao waka.
Israel yenyewe inaishi kwa misaada kutoka Marekani,hawana uwezo wa kununua hata Bombardier Bila msaada.na Senegal mkuu ni mwanachama wa UN na kila mwanachama anayo haki ya kupeleka resolution katika UNSC kwa jambo linalohusu usalama wa nchi yoyote against nchi yoyote,Arab League inazitumia vp hapo nchi za Kiafrika? Au ndio Israel ni nchi takatifu isiulizwe? Kama hio ndio imani yako pole sana Mkuu haki lazima ibakie kuwa haki tu milele.
 
Israel yenyewe inaishi kwa misaada kutoka Marekani,hawana uwezo wa kununua hata Bombardier Bila msaada.na Senegal mkuu ni mwanachama wa UN na kila mwanachama anayo haki ya kupeleka resolution katika UNSC kwa jambo linalohusu usalama wa nchi yoyote against nchi yoyote,Arab League inazitumia vp hapo nchi za Kiafrika? Au ndio Israel ni nchi takatifu isiulizwe? Kama hio ndio imani yako pole sana Mkuu haki lazima ibakie kuwa haki tu milele.
hujuwi unachokisema
 
Israel yenyewe inaishi kwa misaada kutoka Marekani,hawana uwezo wa kununua hata Bombardier Bila msaada.na Senegal mkuu ni mwanachama wa UN na kila mwanachama anayo haki ya kupeleka resolution katika UNSC kwa jambo linalohusu usalama wa nchi yoyote against nchi yoyote,Arab League inazitumia vp hapo nchi za Kiafrika? Au ndio Israel ni nchi takatifu isiulizwe? Kama hio ndio imani yako pole sana Mkuu haki lazima ibakie kuwa haki tu milele.
Israel ndio waanzilishi wa kutengeneza drones duniani.Biashara yao kubwa utengenezaji wa silaha pamoja na IT.Hata kama hupendi kitu fulani kujifunza ukweli wake sio mbaya.
 
Hii ni vita kati ya utawala wa Obama na Israeli

Kwa wale mnaofuatilia haya mambo mtakumbuka kwamba mwaka jana chama cha Republican walimwalika Benjamin Netanyahu kwenye mkutano wake mkuu na akahutubia.

Lakini alipaswa kuwasiliana na utawala wa Obama kuhusu jambo hilo ambalo limetafsiriwa vingine na chama cha Democrat.
 
Hahaha wewe kweli kilaza,wewe unajua research center ya silaha ya Marekani iko wapi? Na je Israel wanayo ya kwao ambayo ni independent? Drones unaona wewe tu big deal,subiri Russia wamalize kufagia sebule waingie kwa jirani ndio utajua nani ni nani. Kama anauwezo wa vita angeshaingia Iran lakini wamezoea kupigana na watu wanaorusha mawe nao pia wanawaliza.
 
Back
Top Bottom