Nimetoka kwny hii kitu lkn najiuliza hv hii ni njia sahihi ya kupima uwezo wa mtu,au ni njia rahisi ya kupunguza idadi ya watu!
Nimetoka kwny hii kitu lkn najiuliza hv hii ni njia sahihi ya kupima uwezo wa mtu,au ni njia rahisi ya kupunguza idadi ya watu!
Nimetoka kwny hii kitu lkn najiuliza hv hii ni njia sahihi ya kupima uwezo wa mtu,au ni njia rahisi ya kupunguza idadi ya watu!
Hilo ni chekecheo ambalo size yake ni 0.01mm.ngano na makapi yataonekana
Mara nyingi hizi test zinauliza maswali ya general na sio ya kwenye vitini vya darasani.
Hivyo sidhani kama waliomaliza hivi karibuni ndio wanafaidika. Wote sawa tu.