Mbona wengi wanasema hawajaona hizo msg? Au wameita kwa awamu? Wengine watajulishwa baadae?
Mi binafsi nilikuwa ni wale watu tuliofanya jioni ile na wale nilioingia nao wanasema hawajapata msg yoyote, labda itakuwa wameanza na kundi lililoingia ile asbh.
Wacha tuendelee kusubiria labda nasie tutafikiwa
Sent from my Infinix PR652B using
JamiiForums mobile app