April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

Ajali tuu? au uzembe? Watu wanajisahau katika mambo makubwa na madhara yanatokea kisha sisi tunahalalisha kuwa ni ajali tuu!

Taarifa nilizopata ni kuwa barabara ya kwenda mbagala imefungwa. watoto wengi wamepotea manake watu wengi watu wazima walikuwa wameenda kuemea makazini. Jamani hali huko si nzuri hasa wa watoto waliokimbia kwenda kujificha.
 
Atakuwa sehemu sehemu anakula bata!

Mkulu alikuwa Arusha jana usiku!sijui kama kesharudi inawezekana alikutana na Lowassa na Masha,si wote nao walikuwa huko...walikuwa Ngurdoto

GT huwa unavuta?
 
Mkuu, kwani chazo kimeshajulikana?

Chanzo gani tena unataka kuona?

Mabomu hayawezi kujilipua yenyewe. Huu ni uzembe wa mtu mmoja kashindwa kufanya kazi yake kwa makini. Na viongozi wanaosimamia hawa watu wameshindwa kuakikisha hawa watu wanafanya kazi zao kwa makini.

Hatutaki tume wala report, Tunataka kuona action kutoka kwa Rais Kikwete,

Hawa viongozi LAZIMA WAJIUZULI ILI IWE FUNDISHO NA WANAOKUJA WAWE MAKINI NA KAZI ZAO

WE ARE TALKING ABOUT PEOPLES LIVES HERE
 
Jamani TUMEPIGIWA SIMU MARA TATU NA WIZARA KUEVACUATE: naondoka now sooon online wakubwa.

tulikuwa na ufunguzi tenda hapo pension tower,TUMEKUTANA NA TANGAZO LA POSTPONMENT,until further notice.
...............the worst part of it ni kwamba no body in the building
 
Hii ndio Tanzania, kila kona kuna uzembe. Hivi kitu Sensitive kama Jeshi linazembea kiasi hiki!! Tutafika kweli huko tuendako??????
 
jamani aliyekuwa na update atuhabarishe - Jee suala la ku evacuate maghorofani lipo au kwa sasa hivi hali imekuwa shwari!
 
Hapa lazima watu wawajibike haraka sana kuanzia waziri, naibu wake, mkuu wa majeshi, mkuu wa base ya mbagala na askari wote wa kituo hicho. Inatia hasira kwa uzembe huu uliotokea na kugharimu maisha ya watu, mali zao nk. Hivi JK upo wapi? mbona hutangazi hali ya hatari?

Hatutaki kusikia eti mnaunda tume kuchunguza mlipuko huu zaidi ya kuwawajibisha wote waliohusika. Wadanganyika tumechoka na ubabaishaji! na tume zisizoisha. Mheshimiwa JK angalia au iga wakubwa wenzio wanavyo-act immeadiatealy pindi janga kubwa linapotokea.

Angalia mfanao wa swine flu ilipotokea tu UK, USA na kwingineko wakuu wa nchi hizo haraka sana walienda kwenye media na kuelimisha umma. Huu sio wakati wa akina Nchimbi kuongea kwenye media zaidi ya kujiuzulu na kutoa maelezo kwa wadanganyika.
 
Hapa lazima watu wawajibike haraka sana kuanzia waziri, naibu wake, mkuu wa majeshi, mkuu wa base ya mbagala na askari wote wa kituo hicho. Inatia hasira kwa uzembe huu uliotokea na kugharimu maisha ya watu, mali zao nk. Hivi JK upo wapi? mbona hutangazi hali ya hatari?

Hatutaki kusikia eti mnaunda tume kuchunguza mlipuko huu zaidi ya kuwawajibisha wote waliohusika. Wadanganyika tumechoka na ubabaishaji! na tume zisizoisha. Mheshimiwa JK angalia au iga wakubwa wenzio wanavyo-act immeadiatealy pindi janga kubwa linapotokea.

Angalia mfanao wa swine flu ilipotokea tu UK, USA na kwingineko wakuu wa nchi hizo haraka sana walienda kwenye media na kuelimisha umma. Huu sio wakati wa akina Nchimbi kuongea kwenye media zaidi ya kujiuzulu na kutoa maelezo kwa wadanganyika.

Huyo Hussein Mwinyi na Naibu wake ni lazima wajiuzulu kwa uzembe huu Mkubwa. Poleni kwa wote mlioathirika na uzembe huu.
 
Chanzo gani tena unataka kuona?

Mabomu hayawezi kujilipua yenyewe. Huu ni uzembe wa mtu mmoja kashindwa kufanya kazi yake kwa makini. Na viongozi wanaosimamia hawa watu wameshindwa kuakikisha hawa watu wanafanya kazi zao kwa makini.

Hatutaki tume wala report, Tunataka kuona action kutoka kwa Rais Kikwete,

Hawa viongozi LAZIMA WAJIUZULI ILI IWE FUNDISHO NA WANAOKUJA WAWE MAKINI NA KAZI ZAO

WE ARE TALKING ABOUT PEOPLES LIVES HERE

UZEMBE, ITILAFU YA UMEME AU YAMELIPUKA YENYEWE...?!
Fungua michuzi blog kuna video kaweka then labda tunaweza pata jibu.
 
Mkulu alikuwa Arusha jana usiku!sijui kama kesharudi inawezekana alikutana na Lowassa na Masha,si wote nao walikuwa huko...walikuwa Ngurdoto

GT huwa unavuta?


KWA viongozi wanaojuwa kazi zao ingekuwa nchi nyingine rais angeshaenda live hewani kuwapa moyo wananchi na kuwaondoa hofu.....hapa hata TBC wanakwepa kuongelea hili...

"yeye atakuwa arusha ..sasa na baridi hii..we !!..wapambe wakamgongee mlango"
 
Rais kikwete yupo wapi?

Au mpaka ikulu ilipuke ndo atatokea?

Muheshimiwa rais wananchi tuliokuchagua tunataka maelezo whats hapen in mbagala
 
Mimi nashangaa kambi ya jeshi hata ghala ya mabomu bado kuhifadhiwa mjini. Mbagala ilikuwa pori zamani kwanini wasihame mbona mapori mengi tu mbali ya watu!!!
 
ahhh mimi naona everything is fine rambi rambi kwa waliokumbwa na balaa huko mbagala lakini sie huku mjini naona watu washapata nafasi ya kuchomoka kwenda kwenye mambo yao mengine

wengine ndio tumerudi JF kukamua ma kawaida

sasa vipi kuhusu ule mjadala wa CAG?
 
ahhh mimi naona everything is fine rambi rambi kwa waliokumbwa na balaa huko mbagala lakini sie huku mjini naona watu washapata nafasi ya kuchomoka kwenda kwenye mambo yao mengine

wengine ndio tumerudi jf kukamua ma kawaida

sasa vipi kuhusu ule mjadala wa cag?
sijakuelwa...
 
Back
Top Bottom