Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
babu nini jamani unalilia nyonyo kama mtoto mchangaKweni wewe umefanyiwa amputation? Au yamevurugwa vurugwa sana kiasi kwamba unayapa likizo...lol!!
Babu DC!!
babu nini jamani unalilia nyonyo kama mtoto mchangaKweni wewe umefanyiwa amputation? Au yamevurugwa vurugwa sana kiasi kwamba unayapa likizo...lol!!
Babu DC!!
Ha ha ha ha ha, kama umeshakongoroka konsentreti na bibi tu
Tusije tukasikia 'tanzia' bure, maana vibinti vya kisasa vinawarusha watu kichura chura.
Mhhh...nahisi kama lilikuwa zoezi la kuvutia hilo....vinginevyo sijui kama farasi anaweza kukamliwa maziwa bila kurusha teke!!
mwambie kabisa manake asifikiri wa siku hizi wana style za ''mbwa kachoka!'' watu wamekuwa more advaenced full mahot powder na mahaga chezeya vibinti vya mujini wewe!
babu nini jamani unalilia nyonyo kama mtoto mchanga
Umesahahu kuwa ukizeeka unafikiria kama mtoto mchanga.....
Taabu yangu ni kwamba hata meno yenyewe sina....!
Huu uzee ni kama laana...yaani ukishuhudia jinsi wajukuu walivyojikomboa kwa ku-boost, unaishia kumeza mate ili kupooza ulcers!!
Duuuuuuuuuu,
Ngona nikalale kwanza!!
Umesahahu kuwa ukizeeka unafikiria kama mtoto mchanga.....
Taabu yangu ni kwamba hata meno yenyewe sina....!
Huu uzee ni kama laana...yaani ukishuhudia jinsi wajukuu walivyojikomboa kwa ku-boost, unaishia kumeza mate ili kupooza ulcers!!
Duuuuuuuuuu,
Ngona nikalale kwanza!!
Umesahahu kuwa ukizeeka unafikiria kama mtoto mchanga.....
Taabu yangu ni kwamba hata meno yenyewe sina....!
Huu uzee ni kama laana...yaani ukishuhudia jinsi wajukuu walivyojikomboa kwa ku-boost, unaishia kumeza mate ili kupooza ulcers!!
Duuuuuuuuuu,
Ngona nikalale kwanza!!
Kwetu kuna msemo wazee huwa wanasema kujifariji
"hata kama siwezi tafuna mhogo mbichi, naweza lamba kwa kiu ya roho na kuongeza siku za kuishi' :behindsofa:
Nimesema tu, simaanishi chochote
wacha kabisa mambo ya kuboost babu kakumbukia yaliyoboostiwa mpaka usingizi,Yani mpka kasahau leo kuwe ile
Babu DC!
anananannanannhahahhahahhahahha!
Nilishakwambia siku nyingi wewe Kongosho,
Humtakii mema Babu wa watu.....
Hivi utalia ukisikia kuwa Babu DC ka-RIP mida ya dinner kwa sababu BP imezidi uwezo wa meter kuisoma??
Hapana aisee...ngoja niendelee kuwapigia wajukuu zangu story....
Umesahau kuwa oral traditions tuliambiwa ni njia mojawapo ya kutoa elimu kwa vizazi vipya?
Babu DC!!
ahahahhahhahhahahhaah ngoja mi ntakuwa nakuwekea!anahahhaha manake ushasau sana!Kumbe nimesahau??.....kudadeki....haya mambo yanatisha snowhite!!
Naapa sitarudia kusahau tena, hata kwenye hii post...
Ila na nyie mmezidi aisee...majuzi nilienda kwenye harusi fulani, kuna dada alikuwa kayaweka kwenye display kabisa na ndiye alikuwa floor manager!! Yaani kila baada ya kama dakika 10 lazima clip ijirudie...
Kwa kweli kazi vijana wanayo.......Sie tunaishia kuseme mhhhhhhhh...na kumeza mate tu!!
What else can we doo....ngoja niishie hapa nisije kusahau sahihi ya babu!!
Ukitaka usipate madhara, usishawishike kutafuna mhogo na mapengo
Kulamba ule utamu utamu wa mhogo ruksa, haina presha
Tatizo mababu wa sasa nao, mko bize kutaka kuitafuna mihogo na mapengo
ahahahhahhahhahahhaah ngoja mi ntakuwa nakuwekea!anahahhaha manake ushasau sana!