korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,014
- 684
Habari zenu wana jf! Kwanza angalieni utumishi wametoa nafas nying sana za kazi jana! Then nauliza je tunaweza kufanya application zaidi ya moja kwa taasisi moja? Maana kuna nafad zaod ya 5 ambazo kwa vigezo vyangu vikakidhi!Je inakubalika kutuma zote?