Mama Nehemiah
JF-Expert Member
- Sep 9, 2018
- 241
- 433
Umemaliza kila kitu nakazia pia ipo kwa halotel tu.Ipo kwa laini ya halotel, tigo wamendoa huduma ya freebasics.
Kuna wakati unaeza kufungua usione jamiiforum usiogope inakuwa imefichwa kwenye list pale chakufanya unapewa option ya kupunguza au kuongeza list za websites kwa hiyo unachotakiwa kuingeza hiyo Jamiiforum na kuendelea kuperuzi.
Ahsanteee kwa kunielewa!!
Hivi Voda na Airtel na wamendoa?Umemaliza kila kitu nakazia pia ipo kwa halotel tu.
Voda pia wameondoa cjajua upande wa airtel kwa wanaotumia mtandao huoHivi Voda na Airtel na wamendoa?
Asante sana maana ilikuwa inanisaidia sanaaa.natafuta line ya halotel soonIpo kwa laini ya halotel, tigo wamendoa huduma ya freebasics.
Kuna wakati unaeza kufungua usione jamiiforum usiogope inakuwa imefichwa kwenye list pale chakufanya unapewa option ya kupunguza au kuongeza list za websites kwa hiyo unachotakiwa kuingeza hiyo Jamiiforum na kuendelea kuperuzi.
Ahsanteee kwa kunielewa!!
Kwa kweli wafikirie upya.Siku Hizi Hazipatikani
Sasa Inabidi Wairudishe Tupate Raha Duniani
Si kasema ni kwa Halotel tu?Hivi Voda na Airtel na wamendoa?
Si kasema ni kwa Halotel tu?
System ambayo ime consist page mbalimbali ambazo unaweza uka peruzi bure kabisa e.g jamiiforum, fb, BBC swahili n.kfree basics ndo nini
System ambayo ime consist page mbalimbali ambazo unaweza uka peruzi bure kabisa e.g jamiiforum, fb, BBC swahili n.k